CCM yazidi kung'ara kwa wananchi

gwaydamuy

New Member
Oct 20, 2019
1
2
Katika pita pita yangu kwenye vijiji kadhaa na kwenye makazi ya watu nimesikia wanachi wakizunguza kuwa chama cha mapinduzi hakina mpinzani hata kwenye ngazi ya vijiji kwa kuwa wamepata kile wanachokihitaji, chama kinacho wasikiliza watu,kwasababu viongozi wamepewa maelekezo namna ya kuwasaidia wanyonge, kuwatetea wananchi pale wanaponyanyaswa na wenye nguvu ya pesa, hakika sasa wanadamu wote ni sawa mbele ya utawala huu wa awamu ya tano
CCM hoyeee,
Ni maelezo ya watu jamani, siyo yangu
 
Sema kinang'ara kwako na familia yako,ni watanzania gani wanaosifia?labda watoto wa mama/kula kulala kama wewe,muulize baba yako akwambie maisha yalivyo magumu,wewe si umezowea kukuta chakula kipo mezani hujui baba yako anakihanfaikiaje ili wewe ujaze tumbo?
 
Sema kinang'ara kwako na familia yako,ni watanzania gani wanaosifia?labda watoto wa mama/kula kulala kama wewe,muulize baba yako akwambie maisha yalivyo magumu,wewe si umezowea kukuta chakula kipo mezani hujui baba yako anakihanfaikiaje ili wewe ujaze tumbo?
 
Kweli inang'ara hasa baada ya jembe hili kuunga juhudi
tapatalk_1571921669725.jpeg
 
Katika pita pita yangu kwenye vijiji kadhaa na kwenye makazi ya watu nimesikia wanachi wakizunguza kuwa chama cha mapinduzi hakina mpinzani hata kwenye ngazi ya vijiji kwa kuwa wamepata kile wanachokihitaji, chama kinacho wasikiliza watu,kwasababu viongozi wamepewa maelekezo namna ya kuwasaidia wanyonge, kuwatetea wananchi pale wanaponyanyaswa na wenye nguvu ya pesa, hakika sasa wanadamu wote ni sawa mbele ya utawala huu wa awamu ya tano
CCM hoyeee,
Ni maelezo ya watu jamani, siyo yangu
Kwanza ungejiuliza kwanini mnaitwa Wanyonge ktk nchi yenu? Unyonge wenu umeletwa na kusababishwa na nani?
 
Katika pita pita yangu kwenye vijiji kadhaa na kwenye makazi ya watu nimesikia wanachi wakizunguza kuwa chama cha mapinduzi hakina mpinzani hata kwenye ngazi ya vijiji kwa kuwa wamepata kile wanachokihitaji, chama kinacho wasikiliza watu,kwasababu viongozi wamepewa maelekezo namna ya kuwasaidia wanyonge, kuwatetea wananchi pale wanaponyanyaswa na wenye nguvu ya pesa, hakika sasa wanadamu wote ni sawa mbele ya utawala huu wa awamu ya tano
CCM hoyeee,
Ni maelezo ya watu jamani, siyo yangu
Ha ha kweli hayo ni Maelezo ya watu siyo yako umepatia vizuri kabsa, hakuna mtu anaipenda CCM bali CCM inalazimisha kupendwa miaka 50 hakuna maendeleo yeyote ni nani ataipenda CCM?
 
Katika pita pita yangu kwenye vijiji kadhaa na kwenye makazi ya watu nimesikia wanachi wakizunguza kuwa chama cha mapinduzi hakina mpinzani hata kwenye ngazi ya vijiji kwa kuwa wamepata kile wanachokihitaji, chama kinacho wasikiliza watu,kwasababu viongozi wamepewa maelekezo namna ya kuwasaidia wanyonge, kuwatetea wananchi pale wanaponyanyaswa na wenye nguvu ya pesa, hakika sasa wanadamu wote ni sawa mbele ya utawala huu wa awamu ya tano
CCM hoyeee,
Ni maelezo ya watu jamani, siyo yangu

Hata kioo kichafu au maji machafu yakipigwa na mwanga na miale ya jua ungaa.
Hakuna jipya kwa ccm.

Husitegemee jino lenye afya kwenye kinywa kilichooza
 
Katika pita pita yangu kwenye vijiji kadhaa na kwenye makazi ya watu nimesikia wanachi wakizunguza kuwa chama cha mapinduzi hakina mpinzani hata kwenye ngazi ya vijiji kwa kuwa wamepata kile wanachokihitaji, chama kinacho wasikiliza watu,kwasababu viongozi wamepewa maelekezo namna ya kuwasaidia wanyonge, kuwatetea wananchi pale wanaponyanyaswa na wenye nguvu ya pesa, hakika sasa wanadamu wote ni sawa mbele ya utawala huu wa awamu ya tano
CCM hoyeee,
Ni maelezo ya watu jamani, siyo yangu
Kweni ilikuwa imechakaa??? au imefubaaa???
 
Imeng'ara kwako au kwa wananchi? Nyuzi zingine bhana!
Katika pita pita yangu kwenye vijiji kadhaa na kwenye makazi ya watu nimesikia wanachi wakizunguza kuwa chama cha mapinduzi hakina mpinzani hata kwenye ngazi ya vijiji kwa kuwa wamepata kile wanachokihitaji, chama kinacho wasikiliza watu,kwasababu viongozi wamepewa maelekezo namna ya kuwasaidia wanyonge, kuwatetea wananchi pale wanaponyanyaswa na wenye nguvu ya pesa, hakika sasa wanadamu wote ni sawa mbele ya utawala huu wa awamu ya tano
CCM hoyeee,
Ni maelezo ya watu jamani, siyo yangu
 
Imeng'ara kwako au kwa wananchi? Nyuzi zingine bhana!
Tanzania ni Nchi yenye rasilimali nyingi kuliko mataifa mengi Duniani lakini cha ajabu chini ya CCM imeendelea kuwa ni Taifa masikini hakuna mfano, CCM hawajaleta maendeleo yeyote na hawatarajii kuleta maendeleo zaidi, kama isingekuwa nini CCM kudumaza maendeleo leo hii Tanzania ingekuwa ni Nchi tajiri kuliko South Africa kwa kila kitu.
 
Katika pita pita yangu kwenye vijiji kadhaa na kwenye makazi ya watu nimesikia wanachi wakizunguza kuwa chama cha mapinduzi hakina mpinzani hata kwenye ngazi ya vijiji kwa kuwa wamepata kile wanachokihitaji, chama kinacho wasikiliza watu,kwasababu viongozi wamepewa maelekezo namna ya kuwasaidia wanyonge, kuwatetea wananchi pale wanaponyanyaswa na wenye nguvu ya pesa, hakika sasa wanadamu wote ni sawa mbele ya utawala huu wa awamu ya tano
CCM hoyeee,
Ni maelezo ya watu jamani, siyo yangu

Hii kali ni wananchi wa nchi gani? Labda Samalia. Mungu angefungua vifua vya watanzani ungefanya toba kwa post yako. Hata humo ndani ya nyumba yenu humuitaki. Maafamde walishachukua chama tunasubiria msajili atangaze.
 
Back
Top Bottom