CCM yazidi kung'ara kwa wananchi

CCM yazidi kung'ara kwa wananchi

Katika pita pita yangu kwenye vijiji kadhaa na kwenye makazi ya watu nimesikia wanachi wakizunguza kuwa chama cha mapinduzi hakina mpinzani hata kwenye ngazi ya vijiji kwa kuwa wamepata kile wanachokihitaji, chama kinacho wasikiliza watu,kwasababu viongozi wamepewa maelekezo namna ya kuwasaidia wanyonge, kuwatetea wananchi pale wanaponyanyaswa na wenye nguvu ya pesa, hakika sasa wanadamu wote ni sawa mbele ya utawala huu wa awamu ya tano
CCM hoyeee,
Ni maelezo ya watu jamani, siyo yangu

Kwa maneno mengine watangulizi walikuwa wamekifubaza mno, na ndio haohao mlikuwa mnawaimbia nyimbo za " MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA, au watanzania hatukuwa na nguvu maana tuliambiwa" MTAJI WA MASIKINI NI NGUVU ZAKE MWENYEWE."
 
Ka
Katika pita pita yangu kwenye vijiji kadhaa na kwenye makazi ya watu nimesikia wanachi wakizunguza kuwa chama cha mapinduzi hakina mpinzani hata kwenye ngazi ya vijiji kwa kuwa wamepata kile wanachokihitaji, chama kinacho wasikiliza watu,kwasababu viongozi wamepewa maelekezo namna ya kuwasaidia wanyonge, kuwatetea wananchi pale wanaponyanyaswa na wenye nguvu ya pesa, hakika sasa wanadamu wote ni sawa mbele ya utawala huu wa awamu ya tano
CCM hoyeee,
Ni maelezo ya watu jamani, siyo yangu
Karibu sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT.
 
Katika pita pita yangu kwenye vijiji kadhaa na kwenye makazi ya watu nimesikia wanachi wakizunguza kuwa chama cha mapinduzi hakina mpinzani hata kwenye ngazi ya vijiji kwa kuwa wamepata kile wanachokihitaji, chama kinacho wasikiliza watu,kwasababu viongozi wamepewa maelekezo namna ya kuwasaidia wanyonge, kuwatetea wananchi pale wanaponyanyaswa na wenye nguvu ya pesa, hakika sasa wanadamu wote ni sawa mbele ya utawala huu wa awamu ya tano
CCM hoyeee,
Ni maelezo ya watu jamani, siyo yangu
Mgombea Ubunge wa Dodoma mjini 2020 kupitia CCM _joy__joy__joy_ ( 640 X 640 ).jpg

nabii tito
 
Katika pita pita yangu kwenye vijiji kadhaa na kwenye makazi ya watu nimesikia wanachi wakizunguza kuwa chama cha mapinduzi hakina mpinzani hata kwenye ngazi ya vijiji kwa kuwa wamepata kile wanachokihitaji, chama kinacho wasikiliza watu,kwasababu viongozi wamepewa maelekezo namna ya kuwasaidia wanyonge, kuwatetea wananchi pale wanaponyanyaswa na wenye nguvu ya pesa, hakika sasa wanadamu wote ni sawa mbele ya utawala huu wa awamu ya tano
CCM hoyeee,
Ni maelezo ya watu jamani, siyo yangu
Mbona hujaweka namba ya simu wewe Nguruwe? Maana umesema ni maneno ya watu sio yako. Kwa maana hiyo wewe sio mtu!
 
Katika pita pita yangu kwenye vijiji kadhaa na kwenye makazi ya watu nimesikia wanachi wakizunguza kuwa chama cha mapinduzi hakina mpinzani hata kwenye ngazi ya vijiji kwa kuwa wamepata kile wanachokihitaji, chama kinacho wasikiliza watu,kwasababu viongozi wamepewa maelekezo namna ya kuwasaidia wanyonge, kuwatetea wananchi pale wanaponyanyaswa na wenye nguvu ya pesa, hakika sasa wanadamu wote ni sawa mbele ya utawala huu wa awamu ya tano
CCM hoyeee,
Ni maelezo ya watu jamani, siyo yangu
Realy? basi sawa...hongereni!
 
Back
Top Bottom