Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,708
- 5,711
- Thread starter
- #101
Aya ya mwisho ina shida gani?Ulikuwa unaelezea vzr mpaka ulipoamua kufunguka kwenye aya ya mwisho.
Aya ya mwisho ina shida gani?Ulikuwa unaelezea vzr mpaka ulipoamua kufunguka kwenye aya ya mwisho.
Sishangai kuwaona vijana wa ccm kama wewe walioweka akili zao mfukoni na kuendeshwa kwa mihemko ya kijinga na kipumbavu.Unafikiri kwa kutumia makalio. Na bichwa lako limejaa manailoni
Huwezi kujua ina shida gani maana wewe ni mjinga na mpumbavu sana,Kwani wewe ulileta tetemeko?? Subiri majibu October!!!Aya ya mwisho ina shida gani?
Tetemeko linahusiana nini na meli? Wewe mbumbumbuHuwezi kujua ina shida gani maana wewe ni mjinga na mpumbavu sana,Kwani wewe ulileta tetemeko?? Subiri majibu October!!!
Wewe endelea kuweka akili yako mfukoni huwezi elewa kitu hapo maana wewe ni mjinga na mpumbavu!!Tetemeko linahusiana nini na meli? Wewe mbumbumbu
Sasa unataka nini? Meli jana imefika bukoba na watu wamefurahi na kushangilia. Mbumbumbu ni mbumbumbu tu.Wewe endelea kuweka akili yako mfukoni huwezi elewa kitu hapo maana wewe ni mjinga na mpumbavu!!
Ambaye hamuelewi Dr. John Pombe Joseph Magufuli, Yawezekana hata yeye mwenyewe huwa anajisahau.Hatimae ile meli maarufu katika ziwa victoria New MV Victoria hapa kazi tu inanza safari zake hapo siku ya jumapili. Na kwa wakazi wa eneo la Kanda ya Ziwa huu ni ukombozi mkubwa kwa uchumi wa eneo hilo. Maana zaidi ya miaka saba usafiri toka Mwanza kwenda mkoani Kagera ulikuwa ni kwa njia ya barabara. Japokuwa barabara ni mkeka wa maana tokea Mwanza mpaka Bukoba mkoani Kagera lakini ulikuwa ni gharama Kubwa.
Wafanyabiashara wa ndizi wao walikuwa wanaumia zaidi sababu tani moja kwenye lori ni zaidi ya laki moja. Ila kwenye meli ni kama elfu ishirini na tano. Na kwao huu usafiri ni faraja kubwa. Pia, hata kwa abiria nauli ya meli ni karibu ya robo ya ile ya mabasi.
Kwa mantiki hii CCM inasubiri shukurani ya kura toka kwa wakazi wa Kagera na eneo zima la kanda ya ziwa victoria. Na projections zinaonyesha 98% ya kura za wananchi wa eneo hili sasa ni zawadi kwa CCM kwa kutekeleza ahadi aliyoitoa JPM ya kukarabati meli hii pamoja na Mv Butiama hapa kazi tu.
CHADEMA na wapinzani uchwara kama Act wazalendo ambao ni vibaraka wa mabeberu wasitarajie kupata hata kiti cha udiwani.
Shida watu hamfahamu majukumu ya opposition. Huwa nashangaa sana mtu aksiema JPM kajenga daraja basi upinzani haupati kura!! Hivi mpinzani anapewa kura sababu kajenga daraja au sababu kaitumikia vyema nafasi yake ya kuicheck serikali?Ambaye hamuelewi Dr. John Pombe Joseph Magufuli, Yawezekana hata yeye mwenyewe huwa anajisahau.
Hatimae ile meli maarufu katika ziwa victoria New MV Victoria hapa kazi tu inanza safari zake hapo siku ya jumapili. Na kwa wakazi wa eneo la Kanda ya Ziwa huu ni ukombozi mkubwa kwa uchumi wa eneo hilo. Maana zaidi ya miaka saba usafiri toka Mwanza kwenda mkoani Kagera ulikuwa ni kwa njia ya barabara. Japokuwa barabara ni mkeka wa maana tokea Mwanza mpaka Bukoba mkoani Kagera lakini ulikuwa ni gharama Kubwa.
Wafanyabiashara wa ndizi wao walikuwa wanaumia zaidi sababu tani moja kwenye lori ni zaidi ya laki moja. Ila kwenye meli ni kama elfu ishirini na tano. Na kwao huu usafiri ni faraja kubwa. Pia, hata kwa abiria nauli ya meli ni karibu ya robo ya ile ya mabasi.
Kwa mantiki hii CCM inasubiri shukurani ya kura toka kwa wakazi wa Kagera na eneo zima la kanda ya ziwa victoria. Na projections zinaonyesha 98% ya kura za wananchi wa eneo hili sasa ni zawadi kwa CCM kwa kutekeleza ahadi aliyoitoa JPM ya kukarabati meli hii pamoja na Mv Butiama hapa kazi tu.
CHADEMA na wapinzani uchwara kama Act wazalendo ambao ni vibaraka wa mabeberu wasitarajie kupata hata kiti cha udiwani.
Unachotaka kusema ni nini?Ukombozi gani wakati mwanza tu bukoba masaa 9 kwa buss ni 20000 tu. Inamaana watu walikuwa hawawezi kusafiri?
Kwa sababu ni mwepesi mno kwa Lissu????Tumshukuru mungu kwa kutuleta jpm
Protest means a somebody wants changes!!!, Ni dhahiri kuwa upinzani unaleta challenge kubwa kwa chama kilichoshika hatamu, shida inapoanzia ni upinzani kujitoa ufahamu na kubeza hata kile kidogo kilichofanyika, njooni na sera mpigiwe kura, sio kubeza na kukejeli kumbuka kuwa siasa Safi, Afya na Elimu ni chachu ya maendeleo.Shida watu hamfahamu majukumu ya opposition. Huwa nashangaa sana mtu aksiema JPM kajenga daraja basi upinzani haupati kura!! Hivi mpinzani anapewa kura sababu kajenga daraja au sababu kaitumikia vyema nafasi yake ya kuicheck serikali?
Ingekua hivyo huko marekani/Uingereza kusingekua na opposition maana tayari miundombinu yote ipo miaka na miaka!!
Nikukumbushe tu kule Afrika kusini chama cha makaburu (DA) ndio chama kikuu cha upinzani!! Ina maana hao wananchi hawajui ANC ilileta uhuru na maendeleo ya watu weusi?
Elimu ya uraia ni muhimu sana
Mkuu labda niseme tu, kupitishwa JPM na kufanya miradi mingi kwa mkupuo ni sababu ya presha ya upinzani. Hivyo sio Sawa watu kushabikia humu kuwa CCM itashinda 98% maana likitokea hilo serikali haitowahi wajibika kabisa maana inajua haina mbadala.Protest means a somebody wants changes!!!, Ni dhahiri kuwa upinzani unaleta challenge kubwa kwa chama kilichoshika hatamu, shida inapoanzia ni upinzani kujitoa ufahamu na kubeza hata kile kidogo kilichofanyika, njooni na sera mpigiwe kura, sio kubeza na kukejeli kumbuka kuwa siasa Safi, Afya na Elimu ni chachu ya maendeleo.
Ccm vilaza hawaishi cdm wawafanyie nn wananchi Kwan kodi mlikuwa mnampa nani jinga kabisaSijui chadomo watasema waliwafanyia Nini wapiga kura
Kama unakubali miradi imetekelezwa kwa mkupuo, Basi ni dhahiri Rais Jpm anamudu kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Mkuu labda niseme tu, kupitishwa JPM na kufanya miradi mingi kwa mkupuo ni sababu ya presha ya upinzani. Hivyo sio Sawa watu kushabikia humu kuwa CCM itashinda 98% maana likitokea hilo serikali haitowahi wajibika kabisa maana inajua haina mbadala.
Ko licha ya kumtaka JPM kushinda ila isiwe hizo asilimia..... Nchi itaporomoka.
Mkuu miradi imekuwepo toka enzi za Mkapa ko sio kma ni miujiza ya JPM bali ni obvious issue huwa jinsi gani miradi itafikia malengo iliyowekewa. Na hapo ndipo upinzani unahitajika ili kuiwajibisha serikali itekeleze iliyoahidi kupitia miradi hyo.Kama unakubali miradi imetekelezwa kwa mkupuo, Basi ni dhahiri Rais Jpm anamudu kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Wewe ni product ya elimu ya kata si kosa lakoKodi anatoza na serikali Sasa Kama maendeleo ya naletwa na serikali ya CCM Ina haja gani kuwepo wajasiriasiasa aka pinga pinga aka Cha Domo ewe msukule
Mi nikaamua kukaa kimya maana uongo unapochukua nafasi kwenye propaganda tena kutoka kwenye chama kinachoongoza nchi zaidi ya miaka 50's wote tunakuwa wajinga. CCM wanawafanya watanzania waonekane ni hopeless na ni mtu mmoja tu ndio mwenye akili ambaye ni mwenyekiti wa chama. Huu ni ujuha na watanzania sasa hivi wako tayari kwa hali yoyote ileUkombozi gani wakati mwanza tu bukoba masaa 9 kwa buss ni 20000 tu. Inamaana watu walikuwa hawawezi kusafiri?
Hawa ni mawazo ya wafu watu wasiofikiri kabisa......Let's wait for October....jasho linakutoka muda huu na bado CCM itakuongeza mno. Kizazi chako chote kitaongozwa na Ccm.