Mhadzabe
JF-Expert Member
- May 20, 2009
- 3,246
- 4,753
Mliambiwa msifukue makaburi, ninyi mmeanza kuchimbua,....shauri yenu zimwi litakalotoka humo halitawaacha wamoja!Waende CHADEMA ambako kuna nafasi ya kujificha
Mliambiwa msifukue makaburi, ninyi mmeanza kuchimbua,....shauri yenu zimwi litakalotoka humo halitawaacha wamoja!Waende CHADEMA ambako kuna nafasi ya kujificha
Haha..wachawi wana addiction na makaburi na sehemu za matambiko. Sio rahisi hivyo kwao kuacha hiyo biashara.Ni urithi na sehemu ya maisha yao. Niliwahi jiuliza kwanini wakuu wa wilaya wanapenda matukio, nikaja gundua hawana kazi sana,hivyo lazima watafute kitu cha kuonyesha watu kuwa nao ni muhimu.Mliambiwa msifukue makaburi, ninyi mmeanza kuchimbua,....shauri yenu zimwi litakalotoka humo halitawaacha wamoja!
makapi yote karibuni CHADOMO tukijenge chama!Wanachama 29 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamevuliwa uanachama na wengine sita kushushwa vyeo mkoani Shinyanga, kutokana na kile kilichoelezwa ni kukisaliti wakati wa uchaguzi mkuu.
Akizungumza na waandishi wa habari, Katibu wa CCM wa Mkoa wa Shinyanga, Saad Kusilawe alisema uamuzi huo umetokana na kikao cha Halmashauri Kuu, ambapo miongoni mwa waliovuliwa madaraka na vyeo vyao katika mabano ni Edward Lubinza (Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya) na Ng’honge Nkwabi (Kamanda wa UVCCM ) ambao wote ni wa Wilaya ya Shinyanga Vijijini.
Kusilawe alisema kwa mujibu wa Katiba ya CCM Toleo la mwaka 2012 Ibara ya 93, Kifungu kidogo cha 14 kinatoa mamlaka kwa Halmashauri Kuu ya Mkoa, kumchukulia hatua mwanachama yeyote atakayedhihirika kukosa sifa ya chama hicho.
Akizungumzia viongozi waliovuliwa uongozi na uanachama , alisema Kanuni ya Maadili Toleo la 2012 Ibara ya 8 inasema kosa kubwa kuliko yote ndani ya chama ni kusaliti na kukiweka chama katika hali ya kushindwa katika uchaguzi na mtu anayefanya kosa hilo, lazima afukuzwe.
Wakati huo huo, alisema wanachama 12 walijivua wenyewe, hivyo Kamati Kuu ilibariki kuondoka kwao.
mbona CHADEMA ilipomvua uanachama msaliti Zitto na genge lake chama cha walevi mlimtetea? waende kwenye chama kilichoundwa katika misingi ya usaliti ACT-_Wasaliti.Waende CHADEMA ambako kuna nafasi ya kujificha
kama Mtela Mwampamba na Juliana Shoza walivyojificha??Waende CHADEMA ambako kuna nafasi ya kujificha
Mkuu samahani, unaweza kubadili hiyo Avatar yako. Make jamaa siku hizi ni best friend wetu na Rais wetu JMP. Ni ombi tu lakini.Waende CHADEMA ambako kuna nafasi ya kujificha
Bundi anavinjari ...............Wanachama 29 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamevuliwa uanachama na wengine sita kushushwa vyeo mkoani Shinyanga, kutokana na kile kilichoelezwa ni kukisaliti wakati wa uchaguzi mkuu.
Akizungumza na waandishi wa habari, Katibu wa CCM wa Mkoa wa Shinyanga, Saad Kusilawe alisema uamuzi huo umetokana na kikao cha Halmashauri Kuu, ambapo miongoni mwa waliovuliwa madaraka na vyeo vyao katika mabano ni Edward Lubinza (Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya) na Ng’honge Nkwabi (Kamanda wa UVCCM ) ambao wote ni wa Wilaya ya Shinyanga Vijijini.
Kusilawe alisema kwa mujibu wa Katiba ya CCM Toleo la mwaka 2012 Ibara ya 93, Kifungu kidogo cha 14 kinatoa mamlaka kwa Halmashauri Kuu ya Mkoa, kumchukulia hatua mwanachama yeyote atakayedhihirika kukosa sifa ya chama hicho.
Akizungumzia viongozi waliovuliwa uongozi na uanachama , alisema Kanuni ya Maadili Toleo la 2012 Ibara ya 8 inasema kosa kubwa kuliko yote ndani ya chama ni kusaliti na kukiweka chama katika hali ya kushindwa katika uchaguzi na mtu anayefanya kosa hilo, lazima afukuzwe.
Wakati huo huo, alisema wanachama 12 walijivua wenyewe, hivyo Kamati Kuu ilibariki kuondoka kwao.
Chama Cha Mafisadi -C. C. M, unganisha doti Mkuu.Waende kwenye chama cha mafisadi chadema. Sisi hatutaki wanafiki.
Chama Cha Masalia/Mafisadi -C. C. M., Unganisha doti Mkuu.Waende kwenye chadema chama cha masalia na mafisadi.
Mkuu kimbunga cha Lowassa, kimeacha makovu. Lazima walie kama Chura.Mmebaki mnalia eeenh, mmebaki mnalia eenh, huruma Mnatia huruma, huruma mnatia huruma CCM eenh
Waende CHADEMA ambako kuna nafasi ya kujificha
Mkuu, agenda ya ukabila ipo Chadema au CCM, Mbona unafukua makaburi Tena?CHADEMA = Chaga Development Manifesto.
Mtaji wa chama ni wanachama, waje tu.Waende CHAGADEMA!!
Hapana chezea yule Mzee mwenye nywele nyeupe, akiunguruma tetemeko LA ardhi linatokea LumumbaMkuu kimbunga cha Lowassa, kimeacha makovu. Lazima walie kama Chura.