Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,756
😍Niliwahi kusema narudia tena Shaka ni msaada mkubwa sana kwa chama changu cha CCM na Serikali yake,
Shaka tunakukaribisha kanda ya ziwa,
Tunataka kuona mikutano ya Viongozi wa chama na serikali,
Tuone mkutano wa Mkt wa kitongoji,
Tuone mkutano wa Mkt wa kijiji
Tuone mkutano wa Mkt wa Mtaa
Tuone mkutano wa Diwani,
Tuone mkutano wa mtendaji wa kijiji|kata
Tuone mkutano wa Mbunge,
Tuone mkutano wa DED,
Tuone mkutano wa DC
Tuone mkutano wa RC
TUNATAKA KUONA MIKUTANO TUPATE MAPATO NA MATUZI YA FEDHA ZETU,
Hongera sana Shaka kwa hili,
iliwahi kusema narudia tena Shaka ni msaada mkubwa sana kwa chama changu cha CCM na Serikali yake,
Shaka tunakukaribisha kanda ya ziwa,
Tunataka kuona mikutano ya Viongozi wa chama na serikali,
Tuone mkutano wa Mkt wa kitongoji,
Tuone mkutano wa Mkt wa kijiji
Tuone mkutano wa Mkt wa Mtaa
Tuone mkutano wa Diwani,
Tuone mkutano wa mtendaji wa kijiji|kata
Tuone mkutano wa Mbunge,
Tuone mkutano wa DED,
Tuone mkutano wa DC
Tuone mkutano wa RC
TUNATAKA KUONA MIKUTANO TUPATE MAPATO NA MATUZI YA FEDHA ZETU,
Hongera sana Shaka kwa hili,
😍CCM yajenga nchi
👍Shaka atatuvusha salama kabisa,Nimekuelewa,
Ni kweli lakini kama viongozi wanaoshinda na wananchi hawawezi kupokea na kuziwasilisha hizo kero ngazi ya juu na inatakiwa ngazi ya juu ishuke kusikiliza kero unaona ni sahihi?HAPANA HUELEWI HII CHAIN OF COMAND,
kila ngazi inaumuhimu wake ndio maana Rais akienda mkoa wowote kuna kero atapewa na wananchi,
Kwanini wanampa wanaamini katika mamlaka aliyonayo,
Ndio hivyo kwa RC, DC na wengine,
CCM hainaga kuishiwa. Wapinzani msipokubali CCM ni imara na mkakubali kujifunza kwanini wako imara hamna vile mnaweza kuwashinda
Vyama vingine wana la kujifunza
Mama D nakuelewa sana yaani,
Nachelea kusema hujui shunghuli za mikutano na faida zake.Kuitisha mikutano ili kujua kero za wananchi ni matumizi mabovu ya kodi na inaonyesha jinsi gani kuna upuuzi unaendelea.
Mkoa una wabunge.
Una serikali za mitaa zenye wawakilishi mpaka level ya chini kabisa.
Hawa wawili wanaweza kuwasilisha hizo kero kwa RC (Kama RC hajui kero za mTanzania) bila kutumia pesa nyingi pasipo ulazima.
Lakini CM 1774858 hii avatar yako inanipa maswali kweli. Naona lakini sipati ujumbe 😂😂😂😂😂
Hehehe kutafutana uchawi au siyo?Nachelea kusema hujui shunghuli za mikutano na faida zake.
Nawasalimu katika jina la JMT,
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka amewataka viongozi wa chama na serikali kushughulikia matatizo ya wananchi badala ya kufanya vikao vya mara kwa mara kwa ajili ya kutafuta madaraka,
"Ili CCM iendelee kukubalika na kuaminiwa na wananchi na kuendelea kupewa ridhaa ya kuunda serikali na kuongoza Nchi yetu, ni lazima wawakilishi wetu na viongozi serikalini kuwa karibu na wananchi. Hivyo natoa maelekezo kwa wawakilishi wetu hawa nchi nzima wafanye mikutano ya wananchi ili kuhamasisha maendeleo, kusikiliza kero zao na kushirikiana nao kuzipatia ufumbuzi. Pamoja na kuendelea kuwa wasemaji na watetezi wa wananchi wote. Haya ni maelekezo ya ilani yetu ya uchaguzi ya mwaka 2020-2025 ibara ya 255 ambayo ni lazima chama tuyasimamie ili kuendelea kuaminiwa." Alisema Shaka
VIVA SHAKA VIVA || VIVA CCM VIVA
View attachment 1945777
Inategemea na chama, kama ni Chadema au NCCR Mageuzi ni tishio kubwa sana...Kwani mikusanyiko siyo tishio tena kwa Corona!
Wakati wapinzani wapo haikuwa ni ruhusa hiyo ngoja ninyamazeNawasalimu katika jina la JMT,
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka amewataka viongozi wa chama na serikali kushughulikia matatizo ya wananchi badala ya kufanya vikao vya mara kwa mara kwa ajili ya kutafuta madaraka,
"Ili CCM iendelee kukubalika na kuaminiwa na wananchi na kuendelea kupewa ridhaa ya kuunda serikali na kuongoza Nchi yetu, ni lazima wawakilishi wetu na viongozi serikalini kuwa karibu na wananchi. Hivyo natoa maelekezo kwa wawakilishi wetu hawa nchi nzima wafanye mikutano ya wananchi ili kuhamasisha maendeleo, kusikiliza kero zao na kushirikiana nao kuzipatia ufumbuzi. Pamoja na kuendelea kuwa wasemaji na watetezi wa wananchi wote. Haya ni maelekezo ya ilani yetu ya uchaguzi ya mwaka 2020-2025 ibara ya 255 ambayo ni lazima chama tuyasimamie ili kuendelea kuaminiwa." Alisema Shaka
VIVA SHAKA VIVA || VIVA CCM VIVA
View attachment 1945777
Tanzania ni kubwa mkuu huku kwetu enzi ya Magufuli walikuwa wakitatua. Uongozi ni kipawa kuna kiongozi mmoja yupo mitandaoni sana Antony mtaka ni kioo cha viongozi wanaotambua wajibu waoHehehe kutafutana uchawi au siyo?
Hebu taja mikutano minne iliyoitishwa na RC au DC au PM kisha wananchi wakataja kero zao halafu kero zikatatuliwa.
Piga kazi kiongoziNawasalimu katika jina la JMT,
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka amewataka viongozi wa chama na serikali kushughulikia matatizo ya wananchi badala ya kufanya vikao vya mara kwa mara kwa ajili ya kutafuta madaraka,
"Ili CCM iendelee kukubalika na kuaminiwa na wananchi na kuendelea kupewa ridhaa ya kuunda serikali na kuongoza Nchi yetu, ni lazima wawakilishi wetu na viongozi serikalini kuwa karibu na wananchi. Hivyo natoa maelekezo kwa wawakilishi wetu hawa nchi nzima wafanye mikutano ya wananchi ili kuhamasisha maendeleo, kusikiliza kero zao na kushirikiana nao kuzipatia ufumbuzi. Pamoja na kuendelea kuwa wasemaji na watetezi wa wananchi wote. Haya ni maelekezo ya ilani yetu ya uchaguzi ya mwaka 2020-2025 ibara ya 255 ambayo ni lazima chama tuyasimamie ili kuendelea kuaminiwa." Alisema Shaka
VIVA SHAKA VIVA || VIVA CCM VIVA
View attachment 1945777