CCM yawaruka Mussa Mkangaa na wenzake

CCM yawaruka Mussa Mkangaa na wenzake

LENGIO

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2012
Posts
1,096
Reaction score
508
Chama cha mapinduzi CCM kimesema kama chama wao hawawezi kulipa gharama ya kupinga kesi ya ubunge wa Lema kwa kuwa wao hawakuwa na mashaka na ubunge wa Lema. Kwa hiyo gharama hizo zilipwe na waliokuwa na mashaka na ubunge wa Lema.
 
hahahaha..yani hii itawaogopesha watu kufungua kesi zisizokuwa na miguu wala kichwa
 
hizi chips tutilie sorce zote please! chili, tomato na viambata
 
Hivi gharama za kesi zinafika kias gn?
 
Siku zote unapotumwa ukirudi na mafanikio ndio unathaminiwa sasa wao wameshindwa nani anawathamini.

Swali la kujiuliza je wangekuwa wameshinda kesi CCM wasingewapongeza?
 
hahahaha..yani hii itawaogopesha watu kufungua kesi zisizokuwa na miguu wala kichwa

mtu aliyekuwa Arusha ktk kipindi cha Uchaguzi 2010 na aliyeshuhudia vilio mahakamani toka kwa watoto yatima waliokua wanasomeshwa na Lema na vilio toka kwa wajane atakubaliana nami kwamba wote walioshiriki ktk mchezo huu mchafu watalipwa hapa hapa duniani!
 
Mii naona hapa CHADEMA ndo wamechemsha, sasa akishindwa kulipa watamfanyaje? hata akifungwa watakuwa wamefaidika vipi?
 
Chama cha mapinduzi CCM kimesema kama chama wao hawawezi kulipa gharama ya kupinga kesi ya ubunge wa Lema kwa kuwa wao hawakuwa na mashaka na ubunge wa Lema. Kwa hiyo gharama hizo zilipwe na waliokuwa na mashaka na ubunge wa Lema.

Si Katibu Mkuu Makamba (enzi hizo) aliwataka wafungue kesi dhidi ya CDM na chama kitawalipia? Kweli ccm si watu...wamewaingiza kingi kisha wanawaruka!
 
Back
Top Bottom