Kwa hiyo CCM wameamua kuidharau Mahakama Live! Jambo la kutishia kuua tena kwa Silaha ni jambo la kimahakama, leo hii CCM wanataka litoke mahakamani liende kwao ndo wanaoweza kuliamu vizuri, Duh! Labda ni kwa sababu wanawajua hata aina ya Majaji waliowateua uwezo wao ni mdogo kuliko wa Nape ndio maana wanataka walishughulikie wao wenyewe.