Uliza_Bei JF-Expert Member Joined Feb 17, 2011 Posts 3,216 Reaction score 994 Aug 11, 2015 #61 Hili gazeti ni ofisi kadhaa za serikali wanalazimishwa walinunue....wenye akili timamu hawawezi kupoteza pesa yao kulinunua au kulisoma
Hili gazeti ni ofisi kadhaa za serikali wanalazimishwa walinunue....wenye akili timamu hawawezi kupoteza pesa yao kulinunua au kulisoma
K kiope Member Joined Jul 29, 2015 Posts 14 Reaction score 2 Aug 11, 2015 #63 Watasema yote ila October 25 yaja tuwakomeshe
Domy JF-Expert Member Joined Dec 12, 2011 Posts 4,700 Reaction score 1,090 Aug 11, 2015 #64 CCM Wamewadharau sana wananchi! unawaitaje vibaka wananchi waliokata tamaa?
Pelekaroho JF-Expert Member Joined Sep 15, 2010 Posts 1,602 Reaction score 378 Aug 11, 2015 #65 Naona wamesahau ya "tumbili akamata mwizi"
nitonye JF-Expert Member Joined Dec 18, 2011 Posts 7,349 Reaction score 3,904 Aug 11, 2015 #66 Acha waendelee kuwatia wananchi hasira ndio watajua kama ni vibaka ama la hapo octoba 25
L ladi14 Member Joined Jul 12, 2015 Posts 9 Reaction score 0 Aug 11, 2015 #67 hivi ni kweli hao maelfu ya watu ni vibaka kweli??