CCM yawaita watanzania ni VIBAKA?

CCM yawaita watanzania ni VIBAKA?

Hii ni dharau kwa vijana waliopigika

Mkuu usishangae kusikia kejeli mbalix2 toka kwa ccm ukitaka kujua mtu asiyekubalika hata lugha yao imefarakana.

Katibu mkuu wao amewaita walioshindwa katika chaguzi zao makapi, waliomsindikiza Lowasa wamewaita vibaka na gazeti lao la udaku (Uhuru).......wasubiri October waone hasira za WATZ......
 
Hii inanikumbusha siku Nape alipoenda Tandahimba na kuwaita Wapinzani kuwa wehu na wafuasi wao ni makopo na 2014 Tandahimba mjini ehu wakaongezeka na makopo yakaongeseka mara dufu.
 


CCM imedai vibaka hao waliokodiwa na ukawa walifanya uporaji wa mali katikati ya jiji. Ninachojiuliza je ccm ni wasemaji wa polisi? watanzania hawa wameikosea nini CCM kustahili kuitwa vibaka?

Wengi wenye magari magari yao yalikuwa yakipigwa kwa kugongwa gongwa na mikono na ngumi wakiambiwa wazi kuwa mtatukoma Lowasa akipita.Uliza waendesha magari wengi kilichowapata jana maeneo ya salender bridge.Wengi wanashukuru sana kuwa polisi waliwasaidia vinginevyo magari yao yangebondwa na kuporwa na wale waandamanaji.Walikuwa wanapiga kelele nyie mko kkwenye magari sisi tunatembea kwa miguu hamtuungi mkono subirini lowasa ashike mtatukoma.

Hata SEIF SHARIF Hamad alipohutubia aliliona hilo akasema katika hotuba yake kuwa wasindikizaji wakubwa wa Lowasa WALIKUWA vijana akaishia hapo lakini wale si vijana wa kawaida ni vibaka hata ukiwatizama muonekano wao unajua ni vibaka si vijana wastaarabu.
 
WIVU mwingine...kama MCHEPUKO!ya kwenu yanawashinda mnalala kuwaza ukawa...
Njaaa njooni UKAWA..
waandishi UCHWARA!
 
Leo watanzania tunaitwa vibaka. Lakini tukumbuke ya kuwa aliyeshiba huwa hamkumbuki mwenye njaa, ili hali mwenye njaa ndie anayempa kula.
 
Ila kikubwa cha kukikumbuka tabaka la aliyekuwa nacho na asiyekuwa nacho kitaleta results ambayo haitakuja kusahaulika.
 
johnthebaptist

Sisiem ituambie hawa vibaka walikodishwa kutoka nchi gani? Hata hivyo wameanza kuweweseka.
 
Last edited by a moderator:
Wengi wenye magari magari yao yalikuwa yakipigwa kwa kugongwa gongwa na mikono na ngumi wakiambiwa wazi kuwa mtatukoma Lowasa akipita.Uliza waendesha magari wengi kilichowapata jana maeneo ya salender bridge.Wengi wanashukuru sana kuwa polisi waliwasaidia vinginevyo magari yao yangebondwa na kuporwa na wale waandamanaji.Walikuwa wanapiga kelele nyie mko kkwenye magari sisi tunatembea kwa miguu hamtuungi mkono subirini lowasa ashike mtatukoma.

Hata SEIF SHARIF Hamad alipohutubia aliliona hilo akasema katika hotuba yake kuwa wasindikizaji wakubwa wa Lowasa WALIKUWA vijana akaishia hapo lakini wale si vijana wa kawaida ni vibaka hata ukiwatizama muonekano wao unajua ni vibaka si vijana wastaarabu.

We gamba!, mmekula za escrow na tembo mmemaliza,matumbo yenu yanawapasuka sasa mnatuita vibaka! Jiandae kisaikolojia.
 
Namshukuru Mungu tangu nipate uwezo wa kununua magazeti sijawahi nunua gazeti la uhuru!!!
 
Wengi wenye magari magari yao yalikuwa yakipigwa kwa kugongwa gongwa na mikono na ngumi wakiambiwa wazi kuwa mtatukoma Lowasa akipita.Uliza waendesha magari wengi kilichowapata jana maeneo ya salender bridge.Wengi wanashukuru sana kuwa polisi waliwasaidia vinginevyo magari yao yangebondwa na kuporwa na wale waandamanaji.Walikuwa wanapiga kelele nyie mko kkwenye magari sisi tunatembea kwa miguu hamtuungi mkono subirini lowasa ashike mtatukoma.

Hata SEIF SHARIF Hamad alipohutubia aliliona hilo akasema katika hotuba yake kuwa wasindikizaji wakubwa wa Lowasa WALIKUWA vijana akaishia hapo lakini wale si vijana wa kawaida ni vibaka hata ukiwatizama muonekano wao unajua ni vibaka si vijana wastaarabu.

Kumbe ulitaka Wabibi na Wababu ndo wamsindkize Rowassa? Tulikuwa sisi vijana 'wachafu' tuliojikinai kwa maisha MAGUMU! Tukitokea Karume na machozi ya biashara zetu kuungua moto! Tukitokea kwenye kuokota vyuma CHAKAVU na CHUPA! Tukitokea Jobless corner(vijiweni), tukitokea...
 
Mungu wangu yaani Watanzania ni vibaka sasa hii ni upuuuzii huu.


swissme
 
Oktoba nawachinjia nyuma ya shingo wapate maumivu zaidi pumba kabsa
 
Itabidi sasa tujue vibaka ni kwa nini wapo wengi namna hii Sasa ukipata jibu ndo ujue kwa majibu hayo mnaondoka madarakani saa mbil asubuh 25octoba
 
Siasa za lowasa na Mbatia ni za kistaarabu. Jana tumeona Mbatia akikataa lile sanamu la Funguo nimependa sana kuwa na siasa za hoja kuliko matusi na kudhalilishana. Tutaona Lowasa atakapo anza kampeni kwa kutoa hoja badala ya kutukana watu. Siasa kama hizi zilikuwa za akina Slaa ambazo zimebaki kwa akina Mwigulu na Nape. Kwa sasa kila kauli in gharama kubwa 70 time than the other period. Kauli kama " bao la mkono", makapi na sasa "vibaka" CCM inangalie kauli zisizo na ulazima. Umati wote ule nani anaweza kuulipa?
 
Mkuu usishangae kusikia kejeli mbalix2 toka kwa ccm ukitaka kujua mtu asiyekubalika hata lugha yao imefarakana.

Katibu mkuu wao amewaita walioshindwa katika chaguzi zao makapi, waliomsindikiza Lowasa wamewaita vibaka na gazeti lao la udaku (Uhuru).......wasubiri October waone hasira za WATZ......

Sasa ikiwa wanategemea kura zenu ziwarudishe madarakani huku hata kabla ya kuipata hiyo ridhaa wameanza kuwaita vibaka sasa ndio muda muafaka wa kuwaweka pembeni tena kwa amani kabisa. Siku ya uchaguzi kijana usibaki nyumbani kapige kura ya kuwaondoa hawa waliolewa madaraka.
 
CCM wasihofu, Arusha, Mwanza,Mbeya na kwingineko hao " vibaka' watawaona sana siku Lowasa akipita huko na siku ya kupiga kura SAA 12 asb watakuwepo tayari vituoni.
Hawataki kujifunza hawa kuwa kitokacho mdomoni lazima ukifikiri kwanza tofauti na uendapo haja hujali kitatoka nini. Sasa wao wanaongea kama wanaenda haja
 
Back
Top Bottom