johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 104,319
- 183,522
Chama cha Mapinduzi kupitia gazeti lake la Uhuru toleo la leo 11/8/2015 kimesema umati wa watanzania waliomsindikiza Lowasa NEC kuchukua fomu jana ni vibaka.
CCM imedai vibaka hao waliokodiwa na ukawa walifanya uporaji wa mali katikati ya jiji. Ninachojiuliza je ccm ni wasemaji wa polisi? watanzania hawa wameikosea nini CCM kustahili kuitwa vibaka?
Mungu na azidi kutuhurumia!!
CCM imedai vibaka hao waliokodiwa na ukawa walifanya uporaji wa mali katikati ya jiji. Ninachojiuliza je ccm ni wasemaji wa polisi? watanzania hawa wameikosea nini CCM kustahili kuitwa vibaka?
Mungu na azidi kutuhurumia!!