CCM yavunja upinzani Singida, CHADEMA 121 watimka

CCM yavunja upinzani Singida, CHADEMA 121 watimka

Haya bhana ubishi wa nn? Bac tunakubal mamia ya wanachama wa chadema wamehamia ccm.. maswal kuntu vp kuhusu matatizo ya wananch nayo yamehama kama sio kwisha kabisa, vp kuhusu ubovu wa barabara ya mkalama njia ya kuelekea hosp ya hydom{kule ulipopelekwa Ray C} umeisha au bado? Vp kuhusu shida ya maji mkoa wa singida? Vp kuhusu uhaba wa madawati,majengo ya shule, ukosefu wa mahabara, na ukosefu wa walimu na matatizo meng? Swl lng haya matatizo bado yapo au na matatizo yamehama kama wanachama wa chadema walivyofanya? Vijana achen ulimbuken ni mda wa kuamka sasa na kutupa shuka ccm hana tofaut na mkoloni....
 
Na matatizo yote haya waTz yanayotukabiri eti bado uipende CcM? kimsingi utaonekana punguani kabisa,yaani naichukia CcM kupita maelezo na ntaendelea kuipiga vita daima.
 
Marehemu ccm alzaliwa mwaka 1977 now ni mgonjwa mahututi uwenda akaaga dunia 2015.
 
Wanaohama vyama huwa hawasemi ukiona matangazo kibao ujue tayari hapo.
 
mwenyekiti wa ccm mkoa wa singida, mgana msindai ameisambaratisha kambi ya upinzani jimboni mkalama, baada ya wanachama 182 wa vyama mbalimbali vya upinzani kurejea ccm. Chadema ndiyo iliyopata pigo zaidi baada ya wanachama wake 121 kukihama chama hicho na kurejea ccm.

Chanzo gazeti la mwananchi,jumanne,januari 8,2013

shida ni kwamba mleta uzi amesahau kuwa mtanzania wa sasa anaweza kutofautisha siasa na mpira wa simba nan yanga...... Waende tu wamchukue na juliana shoza na mchange wote kabisa waende .....
 
Cdm daimaaaaa hakunaa kama cdm ni muendelezooo tuuu huu hakunaaa kulalaa mpakaa kielewekeeee
 
Kwanza huyu ni muongo. Nakupa mifano. Tarehe 02/01/2013 ccm walifanya mkutano wa hadhara stendi ya zamani singida. Pale wanaccm walitoa zawadi mbali2 kwa m/kiti msindai. Baada ya mkutano siri zikafichuka ambapo mjumbe mmoja aliyekuwa Mc kwenye mkutano ule akiwa kwenye ukumbi (baa) ya Cheyo iliyoko singida mjini akaanza kulalamika akilalamikia utaratibu uliotumika wa uongozi wa WILAYA kununua zawadi na kuzigawa kwenye kata ili siku ya mkutano wajifanye wao (kata) ndo wamejitolea kununua zawadi ili kumzawadia m/kiti kumbe si kweli.

Hivyo, suala la wanachama 121 wa chadema kurudi ccm ni uongo. Pia wakumbuke waliwahi kumhonga laki 100,000 shoe shiner ili apande jukwaani ili akabidhi kadi 150 za chadema kwa niaba ya waliodai wanachama wa cdm waliorudisha kadi kumbe kadi waliziiba iramba ambapo hata cdm waliwahi kufungua jalada polisi juu ya wizi wa kadi hizo na ndizo wanakuwa wanatumia kuwadanganya watanzania eti wamerudi ccm. Waongo wakubwa hawa. Pia juzi kwenye mkutano wao walitumia magari zaidi ya matano kubeba akina mama na vijana kutoka vijijini ili wahudhurie kwenye mktn wao. Hata namba za magari zilizotumika ninazo. Kuwa makini na CCM jamani kwa leo naishia hapa.
 
Mkuu maula mrs umepitiliza mpaka unaingilia uumbaji wa Mungu, muogope Mungu aliyekupa ndiye aliyemnyima. Alindaye kinywa chake huilinda nafsi yake mwenyewe.
 
Kuhama wanachama 121 ndiyo ihesabike kama CHADEMA imekufa Singida?Yaani hao 121 wanachukua kichwa cha habari kuwa CCM imevunja upinzani Singida ?Habari hii ni ya ajabu namba moja kuwahi kusomwa na mm!
 
mwenyekiti wa CCM mkoa wa Singida, Mgana Msindai ameisambaratisha kambi ya upinzani jimboni Mkalama, baada ya wanachama 182 wa vyama mbalimbali vya upinzani kurejea CCM. CHADEMA ndiyo iliyopata pigo zaidi baada ya wanachama wake 121 kukihama chama hicho na kurejea CCM.

Chanzo Gazeti la Mwananchi,Jumanne,Januari 8,2013

Sitashangaa kwa hayo, Kwani wilayani Igunga katika ziara ya ujio wa Rais mwenyekiti wa Wilaya CCM akishirikiana na wapambe wake walikuwa wakinunua kadi za wananchama wa CDM kwa Tshs.20,000/= na vijana wameziuza kweli lakini sasa hivi wana kadi zingine mpya hapo wameondoka na faida ya Tshs. 17,500/= kwani wamechukua kadi mpya na kulipia na ada. kwa kauli hii ninayoitoa ni CCm inawapokea hao wanachama kimwili lakini kamwe wasidhani kiroho watu hao wapo upande wa CCM, CCM wanachofanya ni matumizi mabaya ya Rasilimali fedha kwani fedha hizo zingeweza kununua dawa, madawati N.K kuliko jinsi zinavyotumika.
 
Kwa hiyo baada ya kuivunja ChHADEMA huko Singida, Hao Wanyaturu na Wanyiramba wa Singida wameshushiwa bei za Mabati na Cement wajenge Nyumba Bora? ama wataendelea kubomokewa na Nyumba zao za Tembe kama tukio la tarehe 01.01.2013 huko huko Mkalama?

Kweli Watanzania wamelogwa na aliyewaloga alishafariki.
Ahaaaaa kweli **** waliwao .hata bei ya maji ya kujengea nyumba za tope haita pungua
 
Hii mambo ya kusema tumevuna wanachama kadhaa kutoka chama fulani ni usanii tu! Hivi hamuelewi?
 
Hizo ni hadithi za kutunga. Jimbo la Mkalama lilikuwa ni sehemu ya jimbo la Iramba Mashariki, na CHADEMA hatujawahi kuwa na wanachama wanaofikia Idadi hiyo katika eneo unalolitaja. Na huyo aloandika hiyo habari ameandika kwa manufaa yake kujifurahisha. Ungezungumzia wanachama wengi kufikia Idadi hiyo maeneo kama ya Singida Magharibi, au Singida Mjini, au Singida Mashariki. Huko unapotaja umesema stori ya Uongo kabisa ili kuwafurahisha CCM wajione kuwa nao wapo. Kama kadi hizo zilifika Idadi unayotaja, basi ni zile za nyie kununua na kuwagawia ili mseme wamerudisha.
mkuu kwa hiyo eneo hilo ni ngome ya ccm?
 
Wanajifurahisha magamba, kununua watu kwa siku moja si sababu, dawa ni kuleta maisha bora kwa kila Mtanzania waliyoahidi.
 
Wow...ina maana upinzani kwa ujumla ulikuwa na wanachama 121 pekee, na sasa wamehamia SISEMU na upinzani umevunjwa!!! Kazi iko....sasa wale waliomchagua Lissu hawakuhesabiwa? Teh..teh..teh
 
Back
Top Bottom