CCM yavunja upinzani Singida, CHADEMA 121 watimka

CCM yavunja upinzani Singida, CHADEMA 121 watimka

Msindai hana nguvu ya kusambaratisha CDM, sema wanatengeneza stori kukuza mambo ili wakubwa wa magamba ajue anakubalika Mkalama kwa vile CCM walimpiga chini kwamba amefulia kisiasa, hii yote harakati za kujiandaa kuteuliwa 2015, ndio wanatengeneza story kwenye magazeti ionekane ana nguvu, hamna lolote, idadi yenyewe ya hao wanachama wa CDM wanaotajwa huko mkalama haijawahi fika toka kuanzishwa kwa vyama vingi, sisi wengine ni wa huko we know in and out ya siasa za maeneo hayo.
 
mwenyekiti wa CCM mkoa wa Singida, Mgana Msindai ameisambaratisha kambi ya upinzani jimboni Mkalama, baada ya wanachama 182 wa vyama mbalimbali vya upinzani kurejea CCM. CHADEMA ndiyo iliyopata pigo zaidi baada ya wanachama wake 121 kukihama chama hicho na kurejea CCM.

Chanzo Gazeti la Mwananchi,Jumanne,Januari 8,2013
Mkuu BigMan ,hivi kweli kuna jimbo la uchaguzi linaloitwa Mkalama?Are you real serious?
 
Last edited by a moderator:
mwenyekiti wa CCM mkoa wa Singida, Mgana Msindai ameisambaratisha kambi ya upinzani jimboni Mkalama, baada ya wanachama 182 wa vyama mbalimbali vya upinzani kurejea CCM. CHADEMA ndiyo iliyopata pigo zaidi baada ya wanachama wake 121 kukihama chama hicho na kurejea CCM.

Chanzo Gazeti la Mwananchi,Jumanne,Januari 8,2013
Mkalama ndio jimbo gani? Mkoa wa Singida hauna jimbo la Mkalama ila kuna wilaya mpya ya Mkalama iliyoundwa baada ya kugawanywa kwa Wilaya ya Iramba
 
Chakushangaza watu wote 121 walikuwa na kadi mpyaaaaaa.....! Ni sawa na kuchukua pesa mfuko wa kulia, ukaziweka mfuko wa kushoto wa suruali then ukasema umepata pesa zaidi.

kam slaa na prof lipumba zao pia kama mpya
 
Ni lini member wengine wataelimika wajamen?????? Watu wa wanadriki kuwa watumwa mpaka lini??? Nitailaani chama cha majambazi a.k.a ccm mpaka mwisho wa uhai wangu----_------_------hakubaliki katika jamii ya Watanzania!
 
Kwa hiyo baada ya kuivunja ChHADEMA huko Singida, Hao Wanyaturu na Wanyiramba wa Singida wameshushiwa bei za Mabati na Cement wajenge Nyumba Bora? ama wataendelea kubomokewa na Nyumba zao za Tembe kama tukio la tarehe 01.01.2013 huko huko Mkalama?

Kweli Watanzania wamelogwa na aliyewaloga alishafariki.

ni kweli hakika tumelojeka sanaaaaaa tu.
 
mwenyekiti wa CCM mkoa wa Singida, Mgana Msindai ameisambaratisha kambi ya upinzani jimboni Mkalama, baada ya wanachama 182 wa vyama mbalimbali vya upinzani kurejea CCM. CHADEMA ndiyo iliyopata pigo zaidi baada ya wanachama wake 121 kukihama chama hicho na kurejea CCM.

Chanzo Gazeti la Mwananchi,Jumanne,Januari 8,2013

Unatumia uzalendo au itikadi? Haya bwana kila la shari/heri
 
weka jina lolote lile upendalo cha msingi ni hao waliovua gwanda na kuvaa uzalendo

yani wewe ndo tak.o.eti walovua gwanda na kuvaa uzalendo! Ccm ndo uzalendo?singda ndo mana hakuna maendeleo,mkalama?mtarubuniwa kwa jambo dogo tu,wenzenu hawadanganyiki,
 
hao 121 ndio kambi mzima ya CDM? tumbavu kabisa
 
sawa basi tunakubaliana na uogo wako umeridhika sasa??basi 2015 mtashinda eeeh haya hongera
 
Ukiona mikoabado ina wabunge wa ajabu ajabu ujue bado sana, ila saa ya ukombozi inakaribia
 
weka jina lolote lile upendalo cha msingi ni hao waliovua gwanda na kuvaa uzalendo

wamevaa UZALENDOoo....GAMBA?, mbona unamung'unya maneno kwa kuandika kuongea je?,Neno/Dhana ya gamba kaanzisha DHAIFU lakini Wana JANI LA TUMBAKU HAMLITAKI hata kulisikia.ila ma-ajabu mpaka leo bado hamja shituka kama DHAIFU huwa anakurupuka.
 
mwenyekiti wa CCM mkoa wa Singida, Mgana Msindai ameisambaratisha kambi ya upinzani jimboni Mkalama, baada ya wanachama 182 wa vyama mbalimbali vya upinzani kurejea CCM. CHADEMA ndiyo iliyopata pigo zaidi baada ya wanachama wake 121 kukihama chama hicho na kurejea CCM.

Chanzo Gazeti la Mwananchi,Jumanne,Januari 8,2013

Tukiendelea na siasa za kipuuzi namna hii Tz yetu itabaki kuongoza kundi la nchi fukara duniani mpaka mwisho wa Dunia. Kuvunja upinzani hakuna maana yoyote kwenye dimbwi la umasikini tulio nao, wala viongozi wa siasa kukusanya kadi za vyama pinzani si utekelezaji wa ilani bali ni kiini macho cha kuwapumbaza waTz masikini waone wao ndo bora kuliko wapinzani wao. Tujifunze kwa wenzetu, hoja si chama wala kadi sera nzuri ndicho kigezo cha kuchaguliwa hata na watu wa vyama pinzani. WaTz tuamke tuache kushabikia siasa uchwara ikiwemo media zetu
 
Kwa hiyo baada ya kuivunja ChHADEMA huko Singida, Hao Wanyaturu na Wanyiramba wa Singida wameshushiwa bei za Mabati na Cement wajenge Nyumba Bora? ama wataendelea kubomokewa na Nyumba zao za Tembe kama tukio la tarehe 01.01.2013 huko huko Mkalama?

Kweli Watanzania wamelogwa na aliyewaloga alishafariki.

Safi sana Nyamigota. Umenena vema
 
Hizi ni propaganda za kishetani tena zenye uibilisi mkubwa, kamwe CCM haiwezi kuvunja ngome ya CHADEMA hata siku 1 labda ngome ya masalia ila sio ya peoples power.
 
mwenyekiti wa CCM mkoa wa Singida, Mgana Msindai ameisambaratisha kambi ya upinzani jimboni Mkalama, baada ya wanachama 182 wa vyama mbalimbali vya upinzani kurejea CCM. CHADEMA ndiyo iliyopata pigo zaidi baada ya wanachama wake 121 kukihama chama hicho na kurejea CCM.

Chanzo Gazeti la Mwananchi,Jumanne,Januari 8,2013
ngome ya watu 121!
 
Hakuna gazeti la ukweli kama mwananchi. Tatizo Chadema ipo zaidi kwenye jamii forum
 
Back
Top Bottom