Shindu Namwaka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2014
- 4,911
- 3,084
Ccm kwishaaaaaa
Mkuu uliyosema kimsingi yana ukweli, lkn je ni hilo tu ulililo liona juu ya ccm?hujawahi kuona mambo mengi machafu zaidi ya hayo yanayo andikwa na wana ccm juu ya viongozi wa upinzani?tena
maneno machafu kabisa nashindwa hata kuyaandika hapa jukwaani hujayaona?nakama umesha yaona mbona hujawahi kukemea kama ulivyokemea hili?
Kashfa za namna na aina hii ndizo ambazo hazitakiwi. ni maneno ambayo hupandikiza chuki katika jamii. Huna sababu ya kuandika kuwa CCM ni Chama Cha Mashoga. Huna sababu hiyo kabisa zaidi ya utoto na nadhani hata umri wako unaweza kuwa chini ya miaka 18. Nchi hii wako walioijenga kwa moyo wa dhati. Kama huipendi CCM huna sababu ya kuandika maneno ya ovyo. Tumia busara, hekima na ujasiri wa kukubali kuwa Tanzania inaendeshwa na mfumo wa vyama vingi vya siasa. Kuna watu wengi kwa mamilioni wanaipenda CCM. Kuna watu kwa mamilioni wanaipenda CHADEMA. Lakini wote ni watanzania na lengo lao ni moja la kuijenga nchi. Sasa ikitokea mwanaCCM akaandika kuwatukana CHADEMA kuwa ni chama cha wachaga huyo naye anapotoka. Na akatokea mtu kama wewe na ambaye nina hakika hajui historia ya nchi hii akatukana kuwa CCM ni chama cha mashoga kwa maana kuwa CCM wote ni mashoga sasa hilo nalo ni jambo la hatari kwa umoja na mshikamano wa nchio hii. Ungekuwa China umeandika maneno hayo kuwa Chama cha Kikomunisti cha China ni Chama cha mashoga saa hizi tayari ungekuwa umefuatwa na kesi yako kuamliwa kwa siku moja na kupigwa risasi. Vijana wengi mnautumia vibaya uhuru uliopo nchini mwetu wa kutoa mawazo. Ni uhuru huu ndio unaokufanya utembee na kujidai nchini. Uhuru huu ukipotea hutakuwa na nafasi ya kuandika upuuzi kama ulivyofanya.
Mkuu kadri siku zinavyosonga ndio ccm inavyozidi kupukutika na mwisho wa siku kutabakia na majengo tukiukweli ccm sasa imefirisika mawazo .
Nikumbushe mkuu hivi Rais wa Tqnzania wa sasa anatoka chama gani?kiukweli ccm sasa imefirisika mawazo .
Wacha kutisha watu na huo unaosema wenyeji kwenye jf,ujue kuna watu ni wenyeji zaidi yakoWewe bado mgeni humu hata mwaka huna soma vizuri sheria za Jf, au wewe nd'o wale wenye ID mbili mbili?
Uhuru huo ni haki ya kikatiba au unatolewa kwa hisani? Waliomwita Lema shoga walikuwa kina nani kama si wana CCM? Huo mshikamano wa taifa unapotea kwa CCM kuitwa chama cha Mashoga ila CHADEMA wakiitwa chama cha Wakatoliki na wachaga ni sawa, au CUF wakiitwa chama cha Wapemba na waislam ndiyo amani inadumishwa?Uhuru huu ukipotea...
Pitia tena post yako umetapika kitu ganiNikumbushe mkuu hivi Rais wa Tqnzania wa sasa anatoka chama gani?
kwani Magembe na mathayo was chama ganiHeshima mbele wadau.
Baada ya chama cha mapinduzi kufutika kabisa katika ramani ya kisiasa manispaa ya Moshi na mkoa wa Kilimanjaro kwa ujumla sasa wanajaribu kutafuta kiki ya kutokea kupitia mlango wa madhehebu ya dini.
Chama cha mapinduzi kimeandaa 'maombi' ya kumuombea Rais Magufuli jumamosi 20 Februari 2016 yatakayotanguliwa na maandamano yatakayoanzia katika ofisi za CCM mkoa na kuishia stendi kuu ya mabasi mjini Moshi ambako 'maombi' hayo yatafanyika!
Katibu wa CCM mkoa ndugu Ruta amesema maandamano na 'maombi' hayo hayana itikadi na kuwaomba wananchi wote washiriki lakini cha kushangaza shughuli zote zinaratibiwa na CCM na gari la CCM ndiyo linatangaza 'maombi' hayo!
Hata hivyo viongozi wa madhehebu yanayoheshimika mkoani Kilimanjaro kanisa katoliki,KKKT na Bakwata wamegoma kushiriki kwenye maombi hayo kwa madai kwamba hawashiriki shughuli za kisiasa na kuwa kama ni maombi kwa Rais wetu yanapaswa kuratibiwa na madhehebu ya dini yenyewe na kufanyika sehemu inayostahili na siyo stendi ya mabasi ambako kuna walevi na wahuni wa kila aina ambao wanaweza kupelekea uvunjifu wa amani na kudhalilishwa kwa viongozi wa dini.Kwa sababu hiyo 'maombi hayo yataendeshwa na madhehebu ya 'uchochoroni'
Wachambuzi wa masuala ya kisiasa mkoani hapa wanasema kitendo cha CCM kuandaa 'maombi' stendi kunatokana na hofu ya kukosa mahudhurio endapo yatafanyika sehemu rasmi,hii inatokana na CCM kutokukubalika kabisa mkoani Kilimanjaro. Pia wamemtaka Kamanda wa Polisi RPC kuzuia 'maombi ' hayo ili kuepusha kero kwa abiria badala yake wayahamishie kwenye viwanja vinavyotumika kwa mikutano ya kisiasa na kidini ambavyo viko vingi mjini Moshi.
Alisema chagueni. MAGUFURI siyo CHICHIEMNikumbushe mkuu hivi Rais wa Tqnzania wa sasa anatoka chama gani?
Ccm ndo wao na sisi,maombi wafanye baada ya kutubu dhambi zao otherwise ni kelele Mbele za Mungu (wa Israel)Lisilo wezekana kwa vyama vingine vya siasa kwa ccm linawezekana mkuu
Hukumu yao ina wasubiriCcm ndo wao na sisi,maombi wafanye baada ya kutubu dhambi zao otherwise ni kelele Mbele za Mungu (wa Israel)