CCM yashinda Umeya Kigamboni

CCM yashinda Umeya Kigamboni

Chadema chali tena
Wakati mwingine ficha ujinga wako mbele za wengine. Ccm walikuwa wajumbe 9 na ukawa 5 nipe kigezo cha ccm kushindwa au ni kwanini ukawa hawakushinda? Hesabu ndogo hizo zinakutesa na unakuja kifua mbele kujisifu na kusifia ujinga.
 
alululululuuuuu aiaiaiiiiiiiii yaani nirahatupu hahahaaaaaaaa....ooh sorry nlijua ukawa ndo wameshinda!! Kumbe ... kiruuu tutashaa
 
bro utachoka kuandika bureee hbr za matokeo coz unafikiri kwa UTENDAJI NA UFATILIAJI HUU ambao UNATOA MAJIBU SAHIHI TENA KWA WAKATI kwa maswali na masikitiko LUKUKI yaliyojaa mioyoni mwa watanzania kwa miaka 10,,nani ATATHUBUTU kuwapa nafasi chadema?kwa kipi cha maana ambacho hawamu hii hakipo?
Kukamata watu na kuwafungulia kesi za kubambika.
# free our max
 
JF hamuitaki hizi taarifa unamletea nani humu sasa zipeleke kwenye mitandao mnayoitaka
 
Kwani mlikuwa mnashindana na nani wakati CCM mko 9 na UKAWA 5 , ingekuwa maajabu kama UKAWA wangeshinda ndio ingekuwa habari lakini CCM kushinda ilikuwa Obvious .....Acha ushamba .....
Sasa mbona zile ambazo ukawa wanakuwaga wengi na ni obvious mnashinda huwa mnaimba mtaa mzima na kupita na kosta za wadada na madera wakidansisha makalio yao madirishani?? Hapa huwa mmeshindana ma nani??
 
Lizaboni wewe ni mtu wa hovyo sana wewe. NI WA HOVYOHOVYO TU.
 
Watu wanangalia chama badala ya uwezo.huyo diwani wa Ukawa ndio think tank ya halmashauri,kuanzia kwa mkurugenzi mpaka madiwani,halafu wamempiga chini
Alipigwa chini engineer mnyaa cuf. Usiangalie upande mmoja
 
Hivi pale Tanga Jiji uchaguzi wa Meya umerudiwa au mambo ni mbele kwa mbele ?
 
Nilikuwepo Kigamboni, nilichangia ushindi.. CCM hongera..!!
 
picccm+yashinda.jpg

Meya mpya wa Kigamboni Maabadi Hoja (katikati) akizungumza na wanahabari baada ya kuchaguliwa leo kulia ni Naibu meya Amin Sambo na kushoto ni Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Steven Katembo. Picha na Bakari Kiango

Kwa ufupi
  • Uchaguzi huo umefanyika leo (Jumamosi )katika Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Julisu Nyerere kilichopo Kigamboni.
  • Mwenyekiti wa uchaguzi huo, Rachel Mhando amesema jumla ya kura zilizopigwa ni 15 na moja iliharibika.
By Bakari Kiango, Mwananchi bkiango@mwananchi.co.tz
Dar es Salaam. Diwani wa Kata ya Pemba Mnazi (CCM), Maabadi Hoja ameshinda umeya wa Halmashauri mpya ya Kigamboni baada ya kupata kura tisa dhidi ya tano za Celestine Maufi wa Chadema.

Uchaguzi huo umefanyika leo (Jumamosi )katika Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Julisu Nyerere kilichopo Kigamboni.

Mwenyekiti wa uchaguzi huo, Rachel Mhando amesema jumla ya kura zilizopigwa ni 15 na moja iliharibika.

Mhando ambaye ni Katibu Tawala wa Kigamboni, amesema nafasi ya naibu meya imekwenda kwa Amin Sambo kutoka CCM aliyemshinda Ernest Mafimbo wa CUF chini ya Ukawa.

Chanzo: Mwananchi
Hamkupeleka mawaziri na wabunge wa Zanzibar kuwapigia kura kwa nini? Mbona mmeshinda kwa kura ndogo Sanaa.
 
picccm+yashinda.jpg

Meya mpya wa Kigamboni Maabadi Hoja (katikati) akizungumza na wanahabari baada ya kuchaguliwa leo kulia ni Naibu meya Amin Sambo na kushoto ni Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Steven Katembo. Picha na Bakari Kiango

Kwa ufupi
  • Uchaguzi huo umefanyika leo (Jumamosi )katika Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Julisu Nyerere kilichopo Kigamboni.
  • Mwenyekiti wa uchaguzi huo, Rachel Mhando amesema jumla ya kura zilizopigwa ni 15 na moja iliharibika.
By Bakari Kiango, Mwananchi bkiango@mwananchi.co.tz
Dar es Salaam. Diwani wa Kata ya Pemba Mnazi (CCM), Maabadi Hoja ameshinda umeya wa Halmashauri mpya ya Kigamboni baada ya kupata kura tisa dhidi ya tano za Celestine Maufi wa Chadema.

Uchaguzi huo umefanyika leo (Jumamosi )katika Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Julisu Nyerere kilichopo Kigamboni.

Mwenyekiti wa uchaguzi huo, Rachel Mhando amesema jumla ya kura zilizopigwa ni 15 na moja iliharibika.

Mhando ambaye ni Katibu Tawala wa Kigamboni, amesema nafasi ya naibu meya imekwenda kwa Amin Sambo kutoka CCM aliyemshinda Ernest Mafimbo wa CUF chini ya Ukawa.

Chanzo: Mwananchi
Big up
 
[HASHTAG]#justiceforLema[/HASHTAG]
[HASHTAG]#TunamtakaBenakiwahai[/HASHTAG]
[HASHTAG]#FreeMaxeceMelo[/HASHTAG]
 
[HASHTAG]#MagufuliNiHatariKulikoZIKA[/HASHTAG]
 
Narrow and black mind bana huwa,mnajidhalilisha sana maana mnakuwa na hoja goigoi sana.
Hadi bungeni ndiyo hivi hivi hadi Makamu wa Rais anawaomba mjitahidi kuwa na hoja nzito..
Sasa wewe Liz unasema ccm wameshinda Umeya Kigamboni utadhani palikuwa na mchuano mkali and numbers tells the result au ni maajabu kwenu kwasababu mmezoea Goli la mkono?
 
Back
Top Bottom