CCM yashinda Umeya Kigamboni

CCM yashinda Umeya Kigamboni

Nilikuwa sehemu tumekaa watu sita nikawa nazungumzia mazuri yaliyofanywa na Ccm kuna kijana kwa hasira kanivamia nakuanza kuning'ata ,nadhani alidhamilia kuniua sijui kosa langu...
Mungu ibariki Tanzania
 
Hongereni. Sisi tunachotaka ni maendeleo tu. Muibe kura, msiibe.
Tunataka haki na si ubabe ktk nchi hii. Hakuna mtu au kiongozi mwenye hati miliki ktk nchi hii.
Ila tunakoelekea kubaya sana.
Kuna viongoz wao wanajiona kama wana hati miliki ktk nchi na neno lao ni sheria. Najiuliza mpaka nachoka.
Yule mama aliyetumbuliwa kwa sabb ya kupotosha umma kwa kuwepo kwa virus vya zika.
Hata km siyo kweli kosa km hilo huwezi kumfukuza mtu kazi, na kama ndiyo
Vip kuhusu
1. Chawene kuwafukuza wamachinga, naye vip? Au kwa vile ana kadi ya ssm?
2. Haitazid mwezi 1 au miwili mpaka leo. Hakuna mwanafunzi mweny sifa hatakosa mikopo na leo?
3. Waziri wa uhakiki mpaka leo bado anahangaika tu , no increment, hakuna kupandishwa madaraja, na yy ni ssm hawez kutumbuliwa?
4. Kuna mkuu wa mkoa wa dsm, anawahoji viongozi wa serikai km watoto. Nchi hii ina laana sana.
UONGOZI UNAENDESHWA KWA HEKIMA NA BUSARA, SHERIA NA KATIBA SAFI NA SIYO UBABE
 
Mnamuwinda Max halafu bado mnaleta habari zenu [HASHTAG]#freemaxcencemello[/HASHTAG]
 
duuh yaan kuandika hvyo tu mtu keshachukua buku saba!!
 
Kwani mlikuwa mnashindana na nani wakati CCM mko 9 na UKAWA 5 , ingekuwa maajabu kama UKAWA wangeshinda ndio ingekuwa habari lakini CCM kushinda ilikuwa Obvious .....Acha ushamba .....
Ila utofauti huu ungekuwa ccm yaani ccm 5 Na ukawa 9 Wala isingekuwa tabu ccm kubidua mambo....na ungesikia Polisi,ffu Na kadhalika wangekuja kusaidia mambo Na ungesikia wameshinda
 
picccm+yashinda.jpg

Meya mpya wa Kigamboni Maabadi Hoja (katikati) akizungumza na wanahabari baada ya kuchaguliwa leo kulia ni Naibu meya Amin Sambo na kushoto ni Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Steven Katembo. Picha na Bakari Kiango

Kwa ufupi
  • Uchaguzi huo umefanyika leo (Jumamosi )katika Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Julisu Nyerere kilichopo Kigamboni.
  • Mwenyekiti wa uchaguzi huo, Rachel Mhando amesema jumla ya kura zilizopigwa ni 15 na moja iliharibika.
By Bakari Kiango, Mwananchi bkiango@mwananchi.co.tz
Dar es Salaam. Diwani wa Kata ya Pemba Mnazi (CCM), Maabadi Hoja ameshinda umeya wa Halmashauri mpya ya Kigamboni baada ya kupata kura tisa dhidi ya tano za Celestine Maufi wa Chadema.

Uchaguzi huo umefanyika leo (Jumamosi )katika Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Julisu Nyerere kilichopo Kigamboni.

Mwenyekiti wa uchaguzi huo, Rachel Mhando amesema jumla ya kura zilizopigwa ni 15 na moja iliharibika.

Mhando ambaye ni Katibu Tawala wa Kigamboni, amesema nafasi ya naibu meya imekwenda kwa Amin Sambo kutoka CCM aliyemshinda Ernest Mafimbo wa CUF chini ya Ukawa.

Chanzo: Mwananchi
bro utachoka kuandika bureee hbr za matokeo coz unafikiri kwa UTENDAJI NA UFATILIAJI HUU ambao UNATOA MAJIBU SAHIHI TENA KWA WAKATI kwa maswali na masikitiko LUKUKI yaliyojaa mioyoni mwa watanzania kwa miaka 10,,nani ATATHUBUTU kuwapa nafasi chadema?kwa kipi cha maana ambacho hawamu hii hakipo?
 
Wizi wilaya nyingine bhnaa Ccm wanajitekenya wenyewe wanacheka wenyewe hyaa hongereni
 
ukawa ikishinda ndio kuna msisimko, lakini ccm ikishinda wala hamna anayehoji. simply ccm haina mvuto.
Huu uzi unabid ufutwe, wanamkata Melo halafu wanajidai kuleta viuz vyao humu.
Waende TBC
 
picccm+yashinda.jpg

Meya mpya wa Kigamboni Maabadi Hoja (katikati) akizungumza na wanahabari baada ya kuchaguliwa leo kulia ni Naibu meya Amin Sambo na kushoto ni Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Steven Katembo. Picha na Bakari Kiango

Kwa ufupi
  • Uchaguzi huo umefanyika leo (Jumamosi )katika Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Julisu Nyerere kilichopo Kigamboni.
  • Mwenyekiti wa uchaguzi huo, Rachel Mhando amesema jumla ya kura zilizopigwa ni 15 na moja iliharibika.
By Bakari Kiango, Mwananchi bkiango@mwananchi.co.tz
Dar es Salaam. Diwani wa Kata ya Pemba Mnazi (CCM), Maabadi Hoja ameshinda umeya wa Halmashauri mpya ya Kigamboni baada ya kupata kura tisa dhidi ya tano za Celestine Maufi wa Chadema.

Uchaguzi huo umefanyika leo (Jumamosi )katika Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Julisu Nyerere kilichopo Kigamboni.

Mwenyekiti wa uchaguzi huo, Rachel Mhando amesema jumla ya kura zilizopigwa ni 15 na moja iliharibika.

Mhando ambaye ni Katibu Tawala wa Kigamboni, amesema nafasi ya naibu meya imekwenda kwa Amin Sambo kutoka CCM aliyemshinda Ernest Mafimbo wa CUF chini ya Ukawa.

Chanzo: Mwananchi
Heko ccm. cdm hawaaminiki tena hata chembe baada ya kutaka kutuwekea fisadi waheed kama rais.
 
picccm+yashinda.jpg

Meya mpya wa Kigamboni Maabadi Hoja (katikati) akizungumza na wanahabari baada ya kuchaguliwa leo kulia ni Naibu meya Amin Sambo na kushoto ni Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Steven Katembo. Picha na Bakari Kiango

Kwa ufupi
  • Uchaguzi huo umefanyika leo (Jumamosi )katika Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Julisu Nyerere kilichopo Kigamboni.
  • Mwenyekiti wa uchaguzi huo, Rachel Mhando amesema jumla ya kura zilizopigwa ni 15 na moja iliharibika.
By Bakari Kiango, Mwananchi bkiango@mwananchi.co.tz
Dar es Salaam. Diwani wa Kata ya Pemba Mnazi (CCM), Maabadi Hoja ameshinda umeya wa Halmashauri mpya ya Kigamboni baada ya kupata kura tisa dhidi ya tano za Celestine Maufi wa Chadema.

Uchaguzi huo umefanyika leo (Jumamosi )katika Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Julisu Nyerere kilichopo Kigamboni.

Mwenyekiti wa uchaguzi huo, Rachel Mhando amesema jumla ya kura zilizopigwa ni 15 na moja iliharibika.

Mhando ambaye ni Katibu Tawala wa Kigamboni, amesema nafasi ya naibu meya imekwenda kwa Amin Sambo kutoka CCM aliyemshinda Ernest Mafimbo wa CUF chini ya Ukawa.

Chanzo: Mwananchi
Congratulations
 
picccm+yashinda.jpg

Meya mpya wa Kigamboni Maabadi Hoja (katikati) akizungumza na wanahabari baada ya kuchaguliwa leo kulia ni Naibu meya Amin Sambo na kushoto ni Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Steven Katembo. Picha na Bakari Kiango

Kwa ufupi
  • Uchaguzi huo umefanyika leo (Jumamosi )katika Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Julisu Nyerere kilichopo Kigamboni.
  • Mwenyekiti wa uchaguzi huo, Rachel Mhando amesema jumla ya kura zilizopigwa ni 15 na moja iliharibika.
By Bakari Kiango, Mwananchi bkiango@mwananchi.co.tz
Dar es Salaam. Diwani wa Kata ya Pemba Mnazi (CCM), Maabadi Hoja ameshinda umeya wa Halmashauri mpya ya Kigamboni baada ya kupata kura tisa dhidi ya tano za Celestine Maufi wa Chadema.

Uchaguzi huo umefanyika leo (Jumamosi )katika Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Julisu Nyerere kilichopo Kigamboni.

Mwenyekiti wa uchaguzi huo, Rachel Mhando amesema jumla ya kura zilizopigwa ni 15 na moja iliharibika.

Mhando ambaye ni Katibu Tawala wa Kigamboni, amesema nafasi ya naibu meya imekwenda kwa Amin Sambo kutoka CCM aliyemshinda Ernest Mafimbo wa CUF chini ya Ukawa.

Chanzo: Mwananchi

Hii forum mmedai haijasajiliwa Tanzania, Kwanini taarifa hii msiipeleke Uhuru?

[HASHTAG]#freemaxencemelo[/HASHTAG]
[HASHTAG]#TunamtakaBenAkiwaHai[/HASHTAG]
[HASHTAG]#JusticeForLema[/HASHTAG]
 
Back
Top Bottom