Kishimbe wa Kishimbe
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 6,121
- 6,062
Unachojichekeshea ni niniHahahaha!Umesahau kusema Uchaguzi haukuwa huru na haki
Unaujua uwezo wa aliyempiga chini?au unaleta speculationAlipigwa chini engineer mnyaa cuf. Usiangalie upande mmoja
Pamoja na kupambana bado tu hujakumbukwa kwenye uteuzi?![]()
Meya mpya wa Kigamboni Maabadi Hoja (katikati) akizungumza na wanahabari baada ya kuchaguliwa leo kulia ni Naibu meya Amin Sambo na kushoto ni Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Steven Katembo. Picha na Bakari Kiango
Kwa ufupi
By Bakari Kiango, Mwananchi bkiango@mwananchi.co.tz
- Uchaguzi huo umefanyika leo (Jumamosi )katika Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Julisu Nyerere kilichopo Kigamboni.
- Mwenyekiti wa uchaguzi huo, Rachel Mhando amesema jumla ya kura zilizopigwa ni 15 na moja iliharibika.
Dar es Salaam. Diwani wa Kata ya Pemba Mnazi (CCM), Maabadi Hoja ameshinda umeya wa Halmashauri mpya ya Kigamboni baada ya kupata kura tisa dhidi ya tano za Celestine Maufi wa Chadema.
Uchaguzi huo umefanyika leo (Jumamosi )katika Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Julisu Nyerere kilichopo Kigamboni.
Mwenyekiti wa uchaguzi huo, Rachel Mhando amesema jumla ya kura zilizopigwa ni 15 na moja iliharibika.
Mhando ambaye ni Katibu Tawala wa Kigamboni, amesema nafasi ya naibu meya imekwenda kwa Amin Sambo kutoka CCM aliyemshinda Ernest Mafimbo wa CUF chini ya Ukawa.
Chanzo: Mwananchi
Sasa uchaguzi WA Meya wa jiji urudiwe ili halmashauri mpya zipate fursa ya kuchagua Meya!!Diwani wa Kata ya Pemba Mnazi (CCM), Maabadi Hoja ameshinda umeya wa Halmashauri mpya ya Kigamboni baada ya kupata kura tisa dhidi ya tano za Celestine Maufi wa Chadema.
Uchaguzi huo umefanyika leo (Jumamosi )katika Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Julisu Nyerere kilichopo Kigamboni.
Mwenyekiti wa uchaguzi huo, Rachel Mhando amesema jumla ya kura zilizopigwa ni 15 na moja iliharibika.
Mhando ambaye ni Katibu Tawala wa Kigamboni, amesema nafasi ya naibu meya imekwenda kwa Amin Sambo kutoka CCM aliyemshinda Ernest Mafimbo wa CUF chini ya Ukawa.
You are very rightWatu wanangalia chama badala ya uwezo.huyo diwani wa Ukawa ndio think tank ya halmashauri,kuanzia kwa mkurugenzi mpaka madiwani,halafu wamempiga chini
Kama Ukawa wangekuwa na wajumbe wengi kuliko CCM ungeshuhudia vurugu na mizengwe ya ajabu, wangejazwa Polisi na FFU kama vile kuna tukio la ujambazi.Wakati mwingine ficha ujinga wako mbele za wengine. Ccm walikuwa wajumbe 9 na ukawa 5 nipe kigezo cha ccm kushindwa au ni kwanini ukawa hawakushinda? Hesabu ndogo hizo zinakutesa na unakuja kifua mbele kujisifu na kusifia ujinga.
Hahahaha Hahahahahah hahahahUnachojichekeshea ni nini
sure, hili ndo janga tulilonalo watanzania. ccm, chadema, cuf wote wanaangalia vyma bila kujali mtu. tusingekuwa tunajali vyama kusingekuwepo na figisu za kukodi wabunge wa viti maalum kuja kupiga kuraWatu wanangalia chama badala ya uwezo.huyo diwani wa Ukawa ndio think tank ya halmashauri,kuanzia kwa mkurugenzi mpaka madiwani,halafu wamempiga chini
SawaDiwani wa Kata ya Pemba Mnazi (CCM), Maabadi Hoja ameshinda umeya wa Halmashauri mpya ya Kigamboni baada ya kupata kura tisa dhidi ya tano za Celestine Maufi wa Chadema.
Uchaguzi huo umefanyika leo (Jumamosi )katika Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Julisu Nyerere kilichopo Kigamboni.
Mwenyekiti wa uchaguzi huo, Rachel Mhando amesema jumla ya kura zilizopigwa ni 15 na moja iliharibika.
Mhando ambaye ni Katibu Tawala wa Kigamboni, amesema nafasi ya naibu meya imekwenda kwa Amin Sambo kutoka CCM aliyemshinda Ernest Mafimbo wa CUF chini ya Ukawa.