CCM yashinda Umeya Kigamboni

CCM yashinda Umeya Kigamboni

Kurzweil

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2011
Posts
6,623
Reaction score
8,426
Diwani wa Kata ya Pemba Mnazi (CCM), Maabadi Hoja ameshinda umeya wa Halmashauri mpya ya Kigamboni baada ya kupata kura tisa dhidi ya tano za Celestine Maufi wa Chadema.

Uchaguzi huo umefanyika leo (Jumamosi )katika Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Julisu Nyerere kilichopo Kigamboni.

Mwenyekiti wa uchaguzi huo, Rachel Mhando amesema jumla ya kura zilizopigwa ni 15 na moja iliharibika.

Mhando ambaye ni Katibu Tawala wa Kigamboni, amesema nafasi ya naibu meya imekwenda kwa Amin Sambo kutoka CCM aliyemshinda Ernest Mafimbo wa CUF chini ya Ukawa.
 
Maabad Hoja wa ccm aameshinda na kateuliwa kuwa meya wa halmashauri ya Kigamboni.

Ccm mbele kwa mbele
 
Watu wanangalia chama badala ya uwezo.huyo diwani wa Ukawa ndio think tank ya halmashauri,kuanzia kwa mkurugenzi mpaka madiwani,halafu wamempiga chini

Hahahaha! Umesahau kusema Uchaguzi haukuwa huru na haki
 
I am finding it very difficult to state 'congratulations'.

KADA
 
picccm+yashinda.jpg

Meya mpya wa Kigamboni Maabadi Hoja (katikati) akizungumza na wanahabari baada ya kuchaguliwa leo kulia ni Naibu meya Amin Sambo na kushoto ni Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Steven Katembo. Picha na Bakari Kiango

Kwa ufupi
  • Uchaguzi huo umefanyika leo (Jumamosi )katika Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Julisu Nyerere kilichopo Kigamboni.
  • Mwenyekiti wa uchaguzi huo, Rachel Mhando amesema jumla ya kura zilizopigwa ni 15 na moja iliharibika.
By Bakari Kiango, Mwananchi bkiango@mwananchi.co.tz
Dar es Salaam. Diwani wa Kata ya Pemba Mnazi (CCM), Maabadi Hoja ameshinda umeya wa Halmashauri mpya ya Kigamboni baada ya kupata kura tisa dhidi ya tano za Celestine Maufi wa Chadema.

Uchaguzi huo umefanyika leo (Jumamosi )katika Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Julisu Nyerere kilichopo Kigamboni.

Mwenyekiti wa uchaguzi huo, Rachel Mhando amesema jumla ya kura zilizopigwa ni 15 na moja iliharibika.

Mhando ambaye ni Katibu Tawala wa Kigamboni, amesema nafasi ya naibu meya imekwenda kwa Amin Sambo kutoka CCM aliyemshinda Ernest Mafimbo wa CUF chini ya Ukawa.

Chanzo: Mwananchi
 
[HASHTAG]#freemaxencemelo[/HASHTAG]
[HASHTAG]#TunamtakaBenAkiwaHai[/HASHTAG]
[HASHTAG]#JusticeForLema[/HASHTAG]
[HASHTAG]#usirudiekosa2020[/HASHTAG]
 
Back
Top Bottom