CCM yashikwa koo na Magufuli, Naibu spika aingia kikao cha kamati kuu

General Mangi

JF-Expert Member
Dec 21, 2013
15,300
23,022
C__Data_Users_DefApps_AppData_INTERNETEXPLORER_Temp_Saved Images_IMG_20160622_052727.jpg


Hakika naona sasa CCM wanashikana mashati, hawajui wafanyee nini.

Wajumbe wa kamati kuu wahoji uhalali wa naibu spika kuingia kikao cha kamati kuu kinyume cha taratibu na kanuni za chama.

Katiba inasema Spika wa bunge atakuwa mjumbe wa kamati kuu ya chama, na haisemi kwamba kama spika hatokuwepo basi awakilishwe na Naibu spika

Sote tunajua spika Ndugai yupo kwenye matibabu India, hakuwepo kwenye kikao cha kamati kuu juzi. Lakini cha kushangaza Naibu spika, Tulia akahudhiria kama kumwakilisha spika, jambo ambalo ni kinyume na taratibu za chama, kwani hakuna kanuni inayotamka hivyo.

Hakuna mjumbe yoyote wa kamati kuu atawakilishwa na mtu mwingine kama yeye hatokuwepo.

Jambo hili limemkera kikwete, kiasi kwamba hata wajumbe wa kamati kuu kuhoji inakuaje rais anaingilia utendaji wa chama?

Katika kikao hicho Magufuli wala Shein hakuwepo.
 
Uliwahi kujiuliza swali hilo siku Lowassa alipokaribishwa na Gwajima Kamati kuu ya Chadema wakati bado ni Mwanachama Hai wa CCM kuja kuzungumzia Namna bora ya kununua Chama chenu ili agombee Urais? Magazeti yakaonesha Slaa na Baregu sura zimewashuka kwa huzuni wakati Mbowe anamtambulisha?
 
Huyu Tulia wale wanaojua uchunguzi wafanye lazima kuna namna tuu. Haiwezekani atumike kuvuruga bunge na sasa ametumika kuvunja kanuni za chama huyohuyo.
Hata hili la Ndugai sasa liangaliwe kwa jicho la tatu
 
Hakika naona sasa ccm wanashikana mashati, hawajui wafanyee nini.

Wajumbe wa kamati kuu wahoji uhalali wa naibu spika kuingia kikao cha kamati kuu kinyume cha taratibu na kanuni za chama.

Katiba inasema spika wa bunge atakuwa mjumbe wa kamati kuu ya chama, na haisemi kwamba kama spika hato kuwepo basi awakilishwe na Naibu spika

Sote tunajua spika ndugai yupo kwenye Matibabu India, hakuwepo kwenye kikao cha kamati kuu juzi. Lakini cha kushangaza Naibu spika, Tulia akahudhiria kama kumwakilisha spika, jambo ambalo ni kinyume na taratibu za chama, kwani hakuna kanuni inayotamka hivyoo.

Hakuna mjumbe yoyote wa kamati kuu atawakilishwa na mtu mwingine kama yeye hatokuwepo.

Jambo hili limemkera kikwete, kiasi kwamba hata wajumbe wa kamati kuu kuhoji inakuaje rais anaingilia utendaji wa chama?

Katika kikao hicho Magufuli wala Shein hakuwepo.
Je spika kama katoka chama cha upinzani, anaruhusiwa kuingia kwa kikao Chao , my take katiba yao ni ya mwaka 47.
 
Hakika naona sasa CCM wanashikana mashati, hawajui wafanyee nini.

Wajumbe wa kamati kuu wahoji uhalali wa naibu spika kuingia kikao cha kamati kuu kinyume cha taratibu na kanuni za chama.

Katiba inasema spika wa bunge atakuwa mjumbe wa kamati kuu ya chama, na haisemi kwamba kama spika hatokuwepo basi awakilishwe na Naibu spika

Sote tunajua spika Ndugai yupo kwenye matibabu India, hakuwepo kwenye kikao cha kamati kuu juzi. Lakini cha kushangaza Naibu spika, Tulia akahudhiria kama kumwakilisha spika, jambo ambalo ni kinyume na taratibu za chama, kwani hakuna kanuni inayotamka hivyoo.

Hakuna mjumbe yoyote wa kamati kuu atawakilishwa na mtu mwingine kama yeye hatokuwepo.

Jambo hili limemkera kikwete, kiasi kwamba hata wajumbe wa kamati kuu kuhoji inakuaje rais anaingilia utendaji wa chama?

Katika kikao hicho Magufuli wala Shein hakuwepo.

Lowassa huwa anaingiaje kwenye vikao vya kamati kuu ya CHADEMA
 
Back
Top Bottom