CCM yapata hati yenye shaka

CCM yapata hati yenye shaka

Ya chadema inasemaje au wenyewe hata kukaguliwa hawataki maana najua huko kwenye mambo ya hela ndo kuna balaa. Pesa za chama zinatunzwa chini ya mto wa mwenyekiti. Huko najua kuna uozo zaidi ya ccm

Ipo sawa
 
Mamburula tanzania ni hawa wafuatao....mbowe, msigwa, lema, sugu na mnyika. Hawa wote kwny saccos ya mzee mtei iitwayo chagadema.
 
Kama CCM ikiwa safi kila sehemu basi upinzani hamna kazi yake,kwa hiyo nategemea kwa kete hii chama kikuu cha upinzani kiwe na hati safi,ikitokea kina hati ya Mashaka pia nitajua ni wabovu kuliko wanaomkosoa,huwezi ukawa mkosoaji halafu ukawa unafanya makosa yale yale km anayofanya mtu unayemkosoa
 
Tulitegemea ccm kama chama kikongwe kiwe mfano kumbe hola! Yaani hakina tofauti na ACT wasaliti. kwa hili la ukaguzi CHADEMA ipo juu
chagadema iko juu kwa kuongozwa na wacheza sinema. Wachekeshaji na ma zero
 
Mamburula tanzania ni hawa wafuatao....mbowe, msigwa, lema, sugu na mnyika. Hawa wote kwny saccos ya mzee mtei iitwayo chagadema.
Mtoa maada, ametoa taarifa tena kwa vifungu wewe unaleta matusi!!! Hii inadhihirisha kuwa wana ccm wengi kama wewe weupe kichwani
 
CCM HOI YAPATA HATI YENYE SHAKA

CCM kiliripoti mali za kudumu kwenye Taarifa za fedha zenye thamani ya sh. 36,869,775,776. Hata hivyo hakikuwa na daftari la mali za kudumu. Hivyo, kushindwa kuthibitisha ukamilifu wa taarifa za mali za kudumu (Revaluation). Hata hivyo, mali za kudumu kwenye Taarifa za fedha zenye thamani ya sh. 36,869,775,776 hazikuwa sahihi

Chama hakikutenganisha thamani ya ardhi na thamani ya majengo kama viwango vya kimataifa vya kihasibu vinavotaka (aya 58 of IAS 16). Hivyo, thamani ya majengo ya kiasi cha sh.9, 809,498,407 yalijumuishwa na thamani ya ardhi ambayo inapanda thamani wakati majengo yanashuka thamani.

Kukosekana kwa taarifa za fedha kuhusu uwekezaji wa chama kwenye makampuni mbalimbali; hivyo, kushindwa kujiridhisha na uwekezaji wenye thamani ya sh. 10,879,571,868 uliyowasilishwa kwenye taarifa za fedha.

Katika Taarifa ya matumizi, kulibainika kiasi cha sh. 32,863,793,631 kilipelekwa kwenye taasisi zilizo chini ya chama, lakini Taarifa za matumizi katika taasisi hizi hazikuweza kupatikna ili kuweza kujiridhisha na matumizi haya.

Matumizi yenye thamani ya sh. 82,400,000 yalikuwa na nyaraka pungufu, hivyo kushindwa kuthibitisha uhalali wake.

Madai yenye thamani ya sh. 137,582,752 kutoka CCM kinondoni hayakuingizwa kwenye Taarifa za fedha, hivyo kusababisha upungufu wa sh. 137,582,752 kwenye Taarifa za fedha.

Chanzo: Ripoti Kuu ya Mwaka ya Mdhibiti na mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serkali (CAG) kwa 2015/2016

MY TAKE: Nilitegemea chama kikongwe kama hiki kiwe mfano wa matumizi mazuri ya fedha, kumbe ndiyo kinara wa ubadhirifu wa fedha na mali za chama. Kwa hali hii, wanachama wataendelea kushabikia ccm bila kujua kuwa fedha zao zinatafunwa kwa fujo! CCM kuweni na huruma mmeiba vya kutosha.

UFISADI CCM NDIO NYUMBANI KWAO

Hitimisho:

"Hivyo basi ccm ni majizi na ni taasisi inayomilikiwa na mafisadi, wafoji vyeti na imejaa mamburula"
Ni mapanya buku
 
Ungeweka na za vyama vingine ili kuipa nguvu hoja yako. Humu kwenye vyama vya siasa karibu vyote ni madudu tu na sidhani hata kuna wa kumcheka mwenzie! But yes, ccm na cdm tunategemea wawe mfano.
Ndugu yangu miye naona HOJA ni matumizi mabaya ya fedha ya Chama cha Mapinduzi. Kudai nguvu ya hoja itoke kwenye hesabu za fedha za vyama vyote ni kukengeuka..
 
  • Thanks
Reactions: SMU
bora uibe angalau uwe na chakuonesha,kuliko kuiba hata chakuonesha huna........dah hata ofisi shida na maruzuku yote hayo.
 
CCM HOI YAPATA HATI YENYE SHAKA

CCM kiliripoti mali za kudumu kwenye Taarifa za fedha zenye thamani ya sh. 36,869,775,776. Hata hivyo hakikuwa na daftari la mali za kudumu. Hivyo, kushindwa kuthibitisha ukamilifu wa taarifa za mali za kudumu (Revaluation). Hata hivyo, mali za kudumu kwenye Taarifa za fedha zenye thamani ya sh. 36,869,775,776 hazikuwa sahihi

Chama hakikutenganisha thamani ya ardhi na thamani ya majengo kama viwango vya kimataifa vya kihasibu vinavotaka (aya 58 of IAS 16). Hivyo, thamani ya majengo ya kiasi cha sh.9, 809,498,407 yalijumuishwa na thamani ya ardhi ambayo inapanda thamani wakati majengo yanashuka thamani.

Kukosekana kwa taarifa za fedha kuhusu uwekezaji wa chama kwenye makampuni mbalimbali; hivyo, kushindwa kujiridhisha na uwekezaji wenye thamani ya sh. 10,879,571,868 uliyowasilishwa kwenye taarifa za fedha.

Katika Taarifa ya matumizi, kulibainika kiasi cha sh. 32,863,793,631 kilipelekwa kwenye taasisi zilizo chini ya chama, lakini Taarifa za matumizi katika taasisi hizi hazikuweza kupatikna ili kuweza kujiridhisha na matumizi haya.

Matumizi yenye thamani ya sh. 82,400,000 yalikuwa na nyaraka pungufu, hivyo kushindwa kuthibitisha uhalali wake.

Madai yenye thamani ya sh. 137,582,752 kutoka CCM kinondoni hayakuingizwa kwenye Taarifa za fedha, hivyo kusababisha upungufu wa sh. 137,582,752 kwenye Taarifa za fedha.

Chanzo: Ripoti Kuu ya Mwaka ya Mdhibiti na mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serkali (CAG) kwa 2015/2016

MY TAKE: Nilitegemea chama kikongwe kama hiki kiwe mfano wa matumizi mazuri ya fedha, kumbe ndiyo kinara wa ubadhirifu wa fedha na mali za chama. Kwa hali hii, wanachama wataendelea kushabikia ccm bila kujua kuwa fedha zao zinatafunwa kwa fujo! CCM kuweni na huruma mmeiba vya kutosha.

UFISADI CCM NDIO NYUMBANI KWAO

Hitimisho:

"Hivyo basi ccm ni majizi na ni taasisi inayomilikiwa na mafisadi, wafoji vyeti na imejaa mamburula"
shika adabu yako wewe nyumbu. weka taarifa ya chadomo kwanza tuone. wapi wamesema wizi kama sio tofauti tu ya mahesabu.
 
Je vyama vyenye viongozi wa maisha mnavisemaje vinatumia OC bila utaratibu wa Mapato na matumizi hoja za CAG kwa upande wa CCM zina jibika
Si usubiri ripoti ya CAG kwa hivyo vyama kiherehere cha nini?
 
Back
Top Bottom