CCM yaombwa kuchunguza rushwa Tarime Mjini

Sep 30, 2014
95
47
Na Mwandishi Wetu

HALI ya sintofahamu inazidi kugubika ushindi wa Jackson Kangoye kwenye kura za maoni katika jimbo la Tarime Mjini, baada ya viongozi wa Chama wilaya kukiuka taratibu na kumbeba Kangoye.

Taarifa za kuaminika ilizozipata zilidai kuwa Kangoye ametumia fedha lukuki ikiwemo kutoa sh. laki moja kwa kila mjumbe.

Rushwa imeifanya ofisi ya wilaya ya CCM kushindwa kuikemea huku Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa wilayani humo ikidaiwa imeikalia kesi ya Kangoye kukamatwa na rushwa.

Inaelezwa siku moja kabla ya uchaguzi mshindi huyo wa kura za maoni alikamatwa na rushwa na TAKUKURU na cha kushangaza aliachiliwa kwa dhamana na hadi leo kesi haijapelekwa mahakamani.

Taarifa zaidi zinaeleza kuwa Jackson ambaye amekuwa akishirikiana na Katibu wa CCM wa wilaya ya Tarime aliyefahamika kwa jina la Mkarukwa wamesambaza mamilioni ya shilingi kuhakikisha Jackson anakuwa mgombea wa CCM wilayani humo.

Alipotafutwa Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mara, Samwel Kiboye maarufu namba tatu simu yake ya mkononi ilikuwa haipokelewi huku taarifa za ndani zikieleza kuwa kumeanza mashinikizo ya kutosimamia maadili ndani ya Chama.

Mjumbe wa mkutano mkuu wa wilaya kutoka Kata ya Turwa, ambaye hakupenda jina lake liandikwe alisema uchaguzi Tarime Mjini haukuwa wa haki kutokana na rushwa kubwa iliyokuwepo.

" Uchaguzi huu si haki na haupaswi kabisa kuungwa mkono maana rushwa ilikuwa kubwa na ni hatari sana. Chama kisimame imara na ikiwezekana iufute mbali na hata kuwaondoa wanachama waliotoa rushwa wasiwepo kwenye uchaguzi mkuu" alisema mwanachama huyo.

Inaelezwa kuwa Jackson na wapambe wake walikuwa wanagawa fedha kwenye hoteli ya Goldland, ambaye inamilikiwa na rafiki wa baba yake, Mzee Kangoye, ambaye anajulikana kwa jina la Mseti ambapo walikuwa wanatoa hela kwa wajumbe ya shilingi 100000 huku akiwaahidi kuwapa elfu 80 baada ya kumpigia kura.

Kitendo ambacho kimeleta fedheha kubwa kwa wajumbe ambao baadhi walionekana kulalamika hadharani kutopatiwa fedha katika baa ya LaKairo ambapo walikuwa wanakutakana kupongezana kwa kugawa fedha vizuri kwa watu mbali mbali.
 
Watu wa Tarime acheni Unafiki, Umbea na Majungu kule kuna Uzi mwingine unaongelea Rushwa ya Tarime Vijijini huku Tarime Mjini mbona mna midomo sana nyie. Acheni mambo ya kike nyie Murraaa, hizi tabia za Umbea Umbea sijui mmezitoa wapi mama...e zenu mnakera Wanaume wazima mmeenda jando mnaleta Urisha urisha tu humu. Kwani huko Majimbo mengine nani kakwambia hawakutoa rushwa? Shwain kabisa wewe mgaka
 
Watu wa Tarime acheni Unafiki, Umbea na Majungu kule kuna Uzi mwingine unaongelea Rushwa ya Tarime Vijijini huku Tarime Mjini mbona mna midomo sana nyie. Acheni mambo ya kike nyie Murraaa, hizi tabia za Umbea Umbea sijui mmezitoa wapi mama...e zenu mnakera Wanaume wazima mmeenda jando mnaleta Urisha urisha tu humu. Kwani huko Majimbo mengine nani kakwambia hawakutoa rushwa? Shwain kabisa wewe mgaka
Hahaha, mura,sasa si ni haki walalamike? Alafu hapa kijiji cha ltirio mbona waitara ameshinda kihalali.japo kuna malalamiko kuwa rushwa ilitumika sana tena bila uoga.
 
Na Mwandishi Wetu

HALI ya sintofahamu inazidi kugubika ushindi wa Jackson Kangoye kwenye kura za maoni katika jimbo la Tarime Mjini, baada ya viongozi wa Chama wilaya kukiuka taratibu na kumbeba Kangoye.

Taarifa za kuaminika ilizozipata zilidai kuwa Kangoye ametumia fedha lukuki ikiwemo kutoa sh. laki moja kwa kila mjumbe.

Rushwa imeifanya ofisi ya wilaya ya CCM kushindwa kuikemea huku Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa wilayani humo ikidaiwa imeikalia kesi ya Kangoye kukamatwa na rushwa.

Inaelezwa siku moja kabla ya uchaguzi mshindi huyo wa kura za maoni alikamatwa na rushwa na TAKUKURU na cha kushangaza aliachiliwa kwa dhamana na hadi leo kesi haijapelekwa mahakamani.

Taarifa zaidi zinaeleza kuwa Jackson ambaye amekuwa akishirikiana na Katibu wa CCM wa wilaya ya Tarime aliyefahamika kwa jina la Mkarukwa wamesambaza mamilioni ya shilingi kuhakikisha Jackson anakuwa mgombea wa CCM wilayani humo.

Alipotafutwa Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mara, Samwel Kiboye maarufu namba tatu simu yake ya mkononi ilikuwa haipokelewi huku taarifa za ndani zikieleza kuwa kumeanza mashinikizo ya kutosimamia maadili ndani ya Chama.

Mjumbe wa mkutano mkuu wa wilaya kutoka Kata ya Turwa, ambaye hakupenda jina lake liandikwe alisema uchaguzi Tarime Mjini haukuwa wa haki kutokana na rushwa kubwa iliyokuwepo.

" Uchaguzi huu si haki na haupaswi kabisa kuungwa mkono maana rushwa ilikuwa kubwa na ni hatari sana. Chama kisimame imara na ikiwezekana iufute mbali na hata kuwaondoa wanachama waliotoa rushwa wasiwepo kwenye uchaguzi mkuu" alisema mwanachama huyo.

Inaelezwa kuwa Jackson na wapambe wake walikuwa wanagawa fedha kwenye hoteli ya Goldland, ambaye inamilikiwa na rafiki wa baba yake, Mzee Kangoye, ambaye anajulikana kwa jina la Mseti ambapo walikuwa wanatoa hela kwa wajumbe ya shilingi 100000 huku akiwaahidi kuwapa elfu 80 baada ya kumpigia kura.

Kitendo ambacho kimeleta fedheha kubwa kwa wajumbe ambao baadhi walionekana kulalamika hadharani kutopatiwa fedha katika baa ya LaKairo ambapo walikuwa wanakutakana kupongezana kwa kugawa fedha vizuri kwa watu mbali mbali.
Ccm mabingwa wa rushwa.
 
Na Mwandishi Wetu

HALI ya sintofahamu inazidi kugubika ushindi wa Jackson Kangoye kwenye kura za maoni katika jimbo la Tarime Mjini, baada ya viongozi wa Chama wilaya kukiuka taratibu na kumbeba Kangoye.

Taarifa za kuaminika ilizozipata zilidai kuwa Kangoye ametumia fedha lukuki ikiwemo kutoa sh. laki moja kwa kila mjumbe.

Rushwa imeifanya ofisi ya wilaya ya CCM kushindwa kuikemea huku Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa wilayani humo ikidaiwa imeikalia kesi ya Kangoye kukamatwa na rushwa.

Inaelezwa siku moja kabla ya uchaguzi mshindi huyo wa kura za maoni alikamatwa na rushwa na TAKUKURU na cha kushangaza aliachiliwa kwa dhamana na hadi leo kesi haijapelekwa mahakamani.

Taarifa zaidi zinaeleza kuwa Jackson ambaye amekuwa akishirikiana na Katibu wa CCM wa wilaya ya Tarime aliyefahamika kwa jina la Mkarukwa wamesambaza mamilioni ya shilingi kuhakikisha Jackson anakuwa mgombea wa CCM wilayani humo.

Alipotafutwa Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mara, Samwel Kiboye maarufu namba tatu simu yake ya mkononi ilikuwa haipokelewi huku taarifa za ndani zikieleza kuwa kumeanza mashinikizo ya kutosimamia maadili ndani ya Chama.

Mjumbe wa mkutano mkuu wa wilaya kutoka Kata ya Turwa, ambaye hakupenda jina lake liandikwe alisema uchaguzi Tarime Mjini haukuwa wa haki kutokana na rushwa kubwa iliyokuwepo.

" Uchaguzi huu si haki na haupaswi kabisa kuungwa mkono maana rushwa ilikuwa kubwa na ni hatari sana. Chama kisimame imara na ikiwezekana iufute mbali na hata kuwaondoa wanachama waliotoa rushwa wasiwepo kwenye uchaguzi mkuu" alisema mwanachama huyo.

Inaelezwa kuwa Jackson na wapambe wake walikuwa wanagawa fedha kwenye hoteli ya Goldland, ambaye inamilikiwa na rafiki wa baba yake, Mzee Kangoye, ambaye anajulikana kwa jina la Mseti ambapo walikuwa wanatoa hela kwa wajumbe ya shilingi 100000 huku akiwaahidi kuwapa elfu 80 baada ya kumpigia kura.

Kitendo ambacho kimeleta fedheha kubwa kwa wajumbe ambao baadhi walionekana kulalamika hadharani kutopatiwa fedha katika baa ya LaKairo ambapo walikuwa wanakutakana kupongezana kwa kugawa fedha vizuri kwa watu mbali mbali.
Mmmh
 
Back
Top Bottom