HADJ DROGBA
Member
- Dec 16, 2009
- 67
- 9
Chadema haiwezi kupata umaarufu kupitia Arusha!
Lowasa je anaweza?
Chadema haiwezi kupata umaarufu kupitia Arusha!
Kwako wewe Mzee Kibu LOWASA na MAKAMBA nani mhuni kuliko mwenzake?Mtachonga sana... Ila tu chadema haiwezi kuitumia Arusha kutafuta umaarufu! Mbaya zaidi kupitia huyo mhuni Lema!
Hakuna mhuni hapo, Ila Slaa na yule Dj mstaafu ndio wahuni...Kwako wewe Mzee Kibu LOWASA na MAKAMBA nani mhuni kuliko mwenzake?
Lowasa je anaweza?
Duh, kweli kumbe wewe ndio umekufa. Chama kimeshinda Urais, Kina wabunge 76%, kina madiwani 83% bado wasema kimekufa. Hivi nawe kweli ni GREAT THINKER? Jitoe tu humu jamvini
Nashukuru kwa kuliona hilo...no, mh. lema ni mbunge wa kuchaguliwa na wananchi sio mhuni, pls respect him.
cha kufanya sema tabia zake ndo za kihuni, hapo hata mie ntakuunga mkono. thanks
Kwa siku za karibuni nimeona wanachama wa CUF wamekuwa wapenzi wa CCM kweye malumbano ya Urais kati ys Dr. Slaa na JK, je na kwa Lowasa ni washabiki au?
Tatizo lako wewe akili yako ni sawa na ya Makamba!!!
ushindi wa wizi. Hata Kikwete anajua kuwa hakutakiwa kuwa ikulu. Yeye ni mwizi na wewe kama uko naye wote nyie wezi.Duh, kweli kumbe wewe ndio umekufa. Chama kimeshinda Urais, Kina wabunge 76%, kina madiwani 83% bado wasema kimekufa. Hivi nawe kweli ni GREAT THINKER? Jitoe tu humu jamvini
Unajua tatizo kubwa la Baba January ni elimu na upeo mdogo wa kuelewa na kupambanua mambo, hivi vyeo vya kupachikana kwa uswahiba hivi vitatufikisha Tanzania pabaya sana.CCM wamechelewa sana na watakapofunguka macho makamba ameshawaharibia mengi. Pale kwa makamba zimejaa blabla, lakini ile kitu haki, busara na hekima anahitaji kujifunza kwa vijana sasa kwani haziwezi kuota na kumwagiliwa kwa sasa wakati ni jioni kwake.
Alichokiongea Mheshimiwa Lowasa kuna dalili ya mtu mwenye mtazamo wenye kuwa na uchungu na mji wake, na hata dalili za busara zinaonyesha kuliko katibu mkuu makamba haoni nini cha muhimu kwa nchi ila mradi sisiemu wako madarakani. Inachekesha sana.
Kwa vile kwa sisiem ni mwaka wa wanawake afadhali waziri wa ardhi wampe wadhifa wa Katibu mkuu wa sisiemu akinusuru chama.
:embarrassed:
Hivi ulishaona wapi mtu usiokuwa na matunda ukapigwa MAWE?
Wana JF, kilichopo Arusha ni hiki: CCM imeshinda Kata 10, CHADEMA Kata 8 na TLP Kata 1. Katika mgawo wa viti maalumu CCM ikapata viti 3, CHADEMA 3 na TLP 1. Na katika Ubunge CCM ina wabunge wa viti maalumu 2, CHADEMA inao 3.Piga hesabu hapo kutokana na mchezo huo ulivyo ndio maana CCM wakalazimika Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Tanga Mary Chatanda ambaye ni Katibu wa CCM Mkoa wa Arusha apige kura Manispaa ya Arusha kumchagua Meya.
Hivi ulishaona wapi mtu usiokuwa na matunda ukapigwa MAWE?
Wana JF, kilichopo Arusha ni hiki: CCM imeshinda Kata 10, CHADEMA Kata 8 na TLP Kata 1. Katika mgawo wa viti maalumu CCM ikapata viti 3, CHADEMA 3 na TLP 1. Na katika Ubunge CCM ina wabunge wa viti maalumu 2, CHADEMA inao 3.Piga hesabu hapo kutokana na mchezo huo ulivyo ndio maana CCM wakalazimika Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Tanga Mary Chatanda ambaye ni Katibu wa CCM Mkoa wa Arusha apige kura Manispaa ya Arusha kumchagua Meya.
Nadhani sio sahihi kuwaruhusu wabunge wa viti maalumu kupiga kura ya kumchagua meya, hili linapaswa liachwe kwa madiwani na wabunge wa kuchaguliwa pekee.
Hili likiachwa liendelee itawezekana meya akatokea kwenye chama chenye madiwani wachache sana lakini chenye wabunge wengi wa viti maalumu waliopo kwenye jiji husika, hapa halmashauri itakuwa haikuchaguliwa na wananchi husika.