Ndoto za AlinachaCCM has already fallen apart.
kwa kweli something is wrong somewhere.ila sishangai sana coz nahisi makamba upeo wake ni mdogo zaidi na ndio chanzo kikubwa cha ukandamizaji wa demokrasia hapa Tz kwa sasa.mzee yule huwa ni nguvu kwanza akili baadae
Chadema haiwezi kupata umaarufu kupitia Arusha!
Du! kweli dunia kigeugeu. Leo Lowassa anaonekana shujaa na kupongezwa hapa jamvini! Ama kweli!
Chadema haiwezi kupata umaarufu kupitia Arusha!
Ni kiongozi makini, hakurupuki, ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa na anazijua sana taratibu za Chama.
Hawezi kukikemea Chama chake kupitia magazetini. "Anapo mahali pa kukikosoa kama kimekosea. Ni katika vikao. Nadhani amenukuliwa vibaya."
Mtachonga sana... Ila tu chadema haiwezi kuitumia Arusha kutafuta umaarufu! Mbaya zaidi kupitia huyo mhuni Lema!
Hivi ulishaona wapi mtu usiokuwa na matunda ukapigwa MAWE?
Wana JF, kilichopo Arusha ni hiki: CCM imeshinda Kata 10, CHADEMA Kata 8 na TLP Kata 1. Katika mgawo wa viti maalumu CCM ikapata viti 3, CHADEMA 3 na TLP 1. Na katika Ubunge CCM ina wabunge wa viti maalumu 2, CHADEMA inao 3.Piga hesabu hapo kutokana na mchezo huo ulivyo ndio maana CCM wakalazimika Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Tanga Mary Chatanda ambaye ni Katibu wa CCM Mkoa wa Arusha apige kura Manispaa ya Arusha kumchagua Meya.
Mtachonga sana... Ila tu chadema haiwezi kuitumia Arusha kutafuta umaarufu! Mbaya zaidi kupitia huyo mhuni Lema!
Chadema haiwezi kupata umaarufu kupitia Arusha!
Mh.Lowasa karibu CHADEMA tutakupa kile ambacho umekua ukikitamani siku zote achana na porojo za makamba na genge lake pale lumumba.Huenda Lowasa ana machungu na Arusha yake na ameona mapema madhara ya hali iliyopo kwa mstakabali wa mji huo na ustawi wake tofauti na Makamba. Anyway, to wait and see!