Wale mliowapa wali maharage ndio wakapige kura,njaa iliwapanda mpaka ichwani waliuwa hawana jinsikWENYE MATOKEO YA KATA ZILE 22 ILIKUWA UJUMBE KWA NANI?
Usaliti wa Sakaya haukusaidia kitu kudadeki !Hahaha piga hao maccm
Nimefurahi sana
Mkuu hivi chadema si wana umoja wao na vyama vingine mbona nawaona wao tuu au ushirikiano uliishaMungu ibariki Tanzania Mungu ibariki cdm
moyo mkubwa tumepata wewe.8m vs 6m.ukizingatia mnajiita wakongwe hahaaaaaa.hiyo sindano ya kanda ya magharibiJipeni Moyo tuu Kama mafuriko ya 2015 hayakuleta Kitu itakua vijiji hivyo?
View attachment 500442 View attachment 500441 View attachment 500440
Asante japo sidhani kama umenielewa vizuri ...namaanisha pale picha inapoonyesha watu 20 badala ya 10 waliopo!Drone camera
Tabora CDM?Ukiona wanyamwezi wamezinduka basi ujue kumekucha , Hakika njaa huadabisha sana !
PointKwani mnafikiri viongozi wa CDM wakiamua kusimamia ile man to man chaguzi zote CCM wanachomoka?
Basi tu akina Mbowe and co wanatufedhehesha sana.
nina wasiwasi aliyetangaza matokeo sidhani kama ataendelea na wadhifa wake, manake alishawaambia maded, wakuu wa wilaya na wengineo kuwa wanapewa posho, halafu wanakuja kusikia mpinzani kapita, wajiandae aisee kuenguliwaAliyetangaza Matokeo ajisalimishe haraka
Tabora Lipumba amawavuruga CUF.Tabora CDM?
Why not CUF?
Maana nnavyojua mimi Tabora CUF ndo imetamalaki umiachia mbali chama dola.
Safi sana!
Waendelee tu na viburi na dharau zao wakizani Bombardier na treni ya umeme ndio kila kitu.