CCM yalaani shambulio dhidi ya Padre Dkt. Charles Kitima

CCM yalaani shambulio dhidi ya Padre Dkt. Charles Kitima

Waache kujifanyaa ,Leo ndo wanajua kulaani?? Wlaishindwa kulaani ya LISSU, Mzee Kibao ? Akina Soka ? Majuzi CHADEMA wametekwa, wamepigwa ??.


Wameingia kwenye Vita ya RC, ngoja Sasa wafahamu kua RC ni DINI na NCHi .
Halafu wanasema “wasiojulikana”. Hili neno ndiyo wamelizoea.
 
CCM ya awamu hii inaongozwa na vichaa kabisa si tu wezi. Yaani wanafanya ijinga wa waziwazi tena ule wasioweza kuukabili kabisa.
Watawezana kweli? Wamwombee sana asife.
 
Hehehehehehe....nijichekee mimi.....ngoja nikavae miwani nione vizuri kama ninachokiona ni sahihi😜
 
🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮☹️
Umekomaa sana kifikra.👉💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐
 
Back
Top Bottom