kama ilivyo kawaida ya ccm na vibaraka wake clouds,wamejipanga kuhakikisha wanasimamia taratibu zote za mazishi ya SAJUKI na kuhakikisha uvccm wahusike mwanzo mwisho kuratibu shughuli nzima badala kuachia familia waamue maaumuzi yao baadhi ya makada wa ccm wameanza kua karibu na familia hii ambayo ilikuwa inahangaikia mil 20 tu ili akatibiwe india lakini walikuwa busy ila leo ndo wanajifanya kua karibu baadhi ya wananchi na wadau wameshangaa utitiri wa viongozi wa ccm na serikali kuanza kumiminika baada ya msiba lakini alipokua MUHIMBILI hakuna hata kiongozi mmoja aliyemtembelea
Source:mimi mwenyewe niko msibani hapa
Source:mimi mwenyewe niko msibani hapa