Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Chatanda gamba linalohitaji shoka kusafisha. Anabebwa na mbeleko la Chuma.
Huyu anabebwe na makamba mkubwa ambae ni msauri mkuu wa raisi kwenda kwa waganga......
Chatanda gamba linalohitaji shoka kusafisha. Anabebwa na mbeleko la Chuma.
Kwa hali ninayoiona hapa Arusha, hata CCM wangeamua kumsimamisha Baba Wa Taifa kama mgombea wao endapo angekuwa angali hai, kulirudisha hili jimbo bado ungekuwa mtihani!
ccm ni kama wagonjwa wa ukimwi...ni lazima waishi kwa matumaini...!
Kweli huyu mama kalewa tena kalewa ulanzi, Arumeru alisema hivìhivi tukadhani yaweza kuwa kweli maana lilikuwa jimbo lao, sasa anaongelea Arusha kweli kalewa gongo, sijui hata hizi habari kazitoa akiwa wapi maana kama angesikika leo tungekuwa tunaongea habar nyingine juu yake.