KWELI NIMEANZA KUAMINI CCM yangu INAKUFA KIBUDI
Nape vipi? CHAMA KINAKUFA
Idadi haijatimia ya mawaziri wanaopaswa kujiuzulu.naomba niwafahamishe kuwa wabunge 4 wa ccm wamejiuzuru...chami, mponda, mkullo na nundu....sasa wanajitayarisha kulifahamisha taifa rasmi, Wabunge wa CCM wako kwenye kikao chao cha chama kabla ya kuja kwenye bunge ili itangazwe rasmi.
Idadi haijatimia ya mawaziri wanaopaswa kujiuzulu.
mponda,