Bushloiaz
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 721
- 806
Kwa wataalamu wa picha mmeshaelewa hapo namna picha ilivyopigwa,cha kuongezea tu mkutano haukuwa na watu wengi kama inavyotaka kuaminishwa hapa,zimanimoto ni uwanja mkubwa sana lakini watu walikuwa ni wachache mno waliokuwa wanaangalia mechi ya songea boys uwanja wa majimaji unaopakana na zimanimoto walikuwa wengi kuliko hao waliokuwa kwa Nepi