Salamu wana JF,
Napenda kujumuika nanyi kwa mara nyingine tena juu ya uwezo na ushujaa alionao kijana mzalendo Mh.Nape kwa kazi ngumu aliyokabidhiwa na CCM,kwanza kabisa amefanikiwa kuwatingisha mafisadi nguli ndani ya chama kwa kipindi kifupi alochoongoza pia anapambana na kelele za CHADEMA zenye nia ya kumkatisha tamaa ambazo bila shaka zinapata support ya MAGAMBA waliopo CCM ambao hawataki kutii amri ya kujivua ili chama kibaki salama bila kuleta chuki kama alivyofanya RA.
Kwa ujasiri alionao bila shaka anatakiwa apewe meno zaidi ya kuwashughulikia mafisadi pamoja na njama za CHADEMA kutumia mgongo wa MAGAMBA,CCM inaiimarika kila siku,watu wanafanyakazi kwa uadilifu,mfumo unabadilishwa ili kukidhi matarajio ya wananchi kupata huduma bora.
NAPE ni moto mkali kwa CHADEMA ndiyo maana hawalali bila kuuliza Mh.NAPE katoa kauli gani kila siku ili wabuni njia mpya ya kumkatisha tamaa...mfano mzuri ..VUA GAMBA VAA GWANDA.....huu ni upuuzi wa copy & paste !
Nilitegemea CHADEMA wawe focus kupata wanachama waadilifu badala ya kusubiri magamba wajiunge kwao.....HONGERA sana Mh.NAPE kwa kuwapa dozi nzito ya kuvua MAGWANDA wavae UZALENDO kama WEWE !
Tunahitaji viongozi wenye UTASHI wa KIZALENDO zaidi badala ya CHAMA kama Mh.ZITTO,Mh.KAFURILA,Mh.MACHALI,Mh.FILIKUNJOMBE,Mh.MKOSAMALI,Mh.MNYIKA nk
CHAMA kitumeke kama njia ya kupazia sauti tuuu na si ushabiki wakijinga kama anavyofanya WENJE,LEMA na baadhi ya wanaCDM....