ALWATAN KIZIGO
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 543
- 652
Katika kile kinachoonesha kukubalika kwa chama cha mapinduzi (CCM) kimeibuka kidedea katika uchaguzi wa umeya baada ya mgombea wake sele boss kuibuka mshindi dhidi ya Mgombea wa cuf .Selle boss alipata kura 19 dhidi ya 18