CCM yaibuka kinara umeya jijini tanga

CCM yaibuka kinara umeya jijini tanga

Hakika haya machungu wanayowasababishia watanzania ipo siku yatafichuka. kwa kweli inauma sana .
 
Sioni kama kuna tatizo. Kama wanaona anauwezo wa kuongoza zaidi ya CUF kwa nini asichaguliwe. Msitake iwe kama bungeni ambapo CCM hupitisha hoja za ajabu kisa chama

Ingekuwa ni kweli uyasemayo tungeona mfano kwenye naibu spika ulionaje mgombea wa Ccm na Ukawa nani alikuwa vizuri pale? Weka ushabiki wa vyama pembeni.
 
Katika kile kinachoonesha kukubalika kwa chama cha mapinduzi (CCM) kimeibuka kidedea katika uchaguzi wa umeya baada ya mgombea wake sele boss kuibuka mshindi dhidi ya Mgombea wa cuf .Selle boss alipata kura 19 dhidi ya 18

Fanya tathimini CCM ina madiwani wangapi na UKAWA wangapi ili ujue wepi wanakubalika
 
cc ukawa had madiwan wetu wananunuliwa?6shangaa kamwe kwa mtindo huu km dsm ccm watapata meya wa chama hicho cha ccm japo wana madiwan wachache
 
Ujue Saa Nyingine Uwe Unatumia Akili Kidogo.hivi Ukawa Mmeshinda Kata Ngap,mpaka Useme Uhisi Kuna Wengine Wamenunuliwa?

Akili wewe huna hujui hata unachobishania wewe mbumbu kweli.
Ukawa.Tanga ina Madiwani 20 na ccm 17 hapo inapitaje ccm?
 
Mitazamo ya kifedhuli. Kwanini usiwaze ushindi wa kistratejia. Hata wangalikuwa ukawa wako 21 na Ccm 12 kama mpango wa ushindi umeandaliwa hao wengi waweza wapigia wachache. Siasa akili KUBWA.

Sioni kama kuna tatizo. Kama wanaona anauwezo wa kuongoza zaidi ya CUF kwa nini asichaguliwe. Msitake iwe kama bungeni ambapo CCM hupitisha hoja za ajabu kisa chama

sele boss anakubalika sana hata kwa wapinzani

Ngoja tuone kama budget za halimashauri zitapita.
 
Back
Top Bottom