Technician
JF-Expert Member
- Mar 30, 2010
- 841
- 222
Na Mwanadishi Wetu,Arumeru
Katika kampeni za uchaguzi wa mdogo jimboni Arumeru Mashariki,
imebainika kuwa tabia ya chama cha mapinduzi (CCM) YA KUUZA
NA KUNUNUA UONGOZI ,imevuka mipaka.
Safari hii imeingia mahala patakatifu pa watakatifu.
"Ofisa huyo anadaiwa kutoa Sh 20,000 kwa kila mchungaji aliyekuwa
kwenye huo mkutano"
"Aidha,viongozi saba na wachungaji hao walilipwa kiasi cha Sh 100,000
kila mmoja kama Nauli katika mkutano ambao haukuandaliwa na CCM"
source:Gazeti MWANAHALISI
Katika kampeni za uchaguzi wa mdogo jimboni Arumeru Mashariki,
imebainika kuwa tabia ya chama cha mapinduzi (CCM) YA KUUZA
NA KUNUNUA UONGOZI ,imevuka mipaka.
Safari hii imeingia mahala patakatifu pa watakatifu.
"Ofisa huyo anadaiwa kutoa Sh 20,000 kwa kila mchungaji aliyekuwa
kwenye huo mkutano"
"Aidha,viongozi saba na wachungaji hao walilipwa kiasi cha Sh 100,000
kila mmoja kama Nauli katika mkutano ambao haukuandaliwa na CCM"
source:Gazeti MWANAHALISI