CCM yafurahia kapuya kubaka

CCM yafurahia kapuya kubaka

B.G TANTAWI

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2013
Posts
496
Reaction score
379
Ingekuwa ni Mbunge wa Upinzani au hasa hasa Chadema, haraka haraka tungeona UVCCM, UWT-Waziri wa Jinsia-Sophia Simba, na Jumuia ya wazazi wakijitokeza katika media kulaani na kuhusisha tukio hilo na chama cha upinzani kuwa ndio tabio zao hata mkiwapa nchi watawabaka na kuwaambukiza Ukimwi wake za watu, lakini sasa upepo umewaendea vibaya sana kwa sasa...

Bunge hasa hasa Spika mwanamke ameshindwa kumpa msaada mtoto yatima hata baada ya mtoto kwenda Dodoma-Bungeni kutoa taarifa ya kuomba msaada.

Sophia simba na Ummy mwalimu-wote mawaziri upepo umewavumia pabaya sana wanashindwa ku-act.

Ni wazi sasa kuwa kapuya kambaka, kamwambukiza ukimwi, nk. ni kiongozi wa kwanza kujulikana wazi kuwa anabaka watoto, na anawaambukiza ukimwi kwa makusudi.

Chadema-hasa hasa BAWACHA-Mpo wapi? toeni tamko kali la kulaani na kui-pressurise serikali ichukue hatua.

Mbakaji wa CCM-amekiri kuwa watoto wao ndio wanaojihusisha na madawa ya kulevya, serikali mpo wapi? au mpo hoi?

Msemaji wa serikali-Assah Mwambene upo wapi? Kurugenzi ya mawasiliano Ikulu ipo wapi? kwa nini isimshauri Rais angalau itoe tamko la Mh. Rais kufedheheshwa na kuamuru vyombo vya Ulinzi kuanza uchunguzi mara moja!!

Ni dhahiri kuwa-CCM ni wabakaji kwani jamani kweli hata KINANA alipofuatwa alishindwa nini kumpigia Sophia Simba simu ili aje awasikilize hao watoto? sawa halikuwa la chama lakini ilitakiwa awape mwongozo wa wapi waende na wapate ushauri?

Tutegemee haya:

Kwanza NGO zisipokuwa makini na kuchukua hatua mara moja hili suala litaishia hivi hivi!
Tunajua viongozi wengi wa serikali wana-ukimwi kuanzia kwa bwana Nyumba hadi kwa Kapuya ila sasa wasiwaambukize watoto au watu wengine kwa makusudi!!

 
Halafu hili zee ukimwi wake mbaya lilishawahi kuua dada mmoja alikua mfanyakazi wake pale dom miaka kama 6 iliyopita
Blood group "0" ile - watu hawa ngoma haiwauwagi miaka nenda rudi -
 
Kweli CCM inafurahia huoni hata mashabiki wake wanavyotetea ubakaji.

Niliwahi kusikia Kikwete akisema "anayeambukiza ukimwi kwa makusudi si mtu wa kuhurumiwa", nategemea tamko kali toka kwake.
 
Sophia Simba aliwahi kwenda Bugando hospital kumjulia hali Mama mmoja aliyeteswa na mume wake kwa kuvurutwa na gari na kutoa maneno makali.

Leo Kapuya amebaka ka-binti ka miaka 14, tena mbaya zaidi amekaambukiza UKIMWI makusudi, lakini huyu mama na Wizara yake (Wizara ya wanawake jinsia na WATOTO) pamoja na kufuatwa, ameshindwa kutoa msaada kwa huyo binti wakati Wizara yake ndiye inayoshughulika na WATOTO.

Shame on you Sophia Simba, Shame on your face Anne Makinda. Nyinyi nyote mnapaswa kuwa viongozi wa mashetani sio binadamu. I pray siku moja huyo Kapuya awabake au abake mabinti zenu ndiyo mtajua uchungu na madhila anayopata huyo binti.
 
Kweli CCM inafurahia huoni hata mashabiki wake wanavyotetea ubakaji.

Niliwahi kusikia Kikwete akisema "anayeambukiza ukimwi kwa makusudi si mtu wa kuhurumiwa", nategemea tamko kali toka kwake.
mbona juzi amesema anayepata ukimwi ni KIHELEHELE CHAKE
 
Mtu wa kwanza kutoa tamko angekuwa mtalaam wa kuwa na ushahidi wa kwenda kutoa Mbinguni na angetangaza hadi kwenye vyombo vya habari kuwa anayo video inayomuonyesha kiongozi wa CHADEMA akimbaka mtoto.
 
CCM wanaona mabaya ya wenzao
Lakini kwa hili la Kapuya lazima ajiuzulu ubunge
waca tuone wabunge wanawake watafanya nini kwa umoja wao
Huyu mama sofia sijui kama atachukua hatua yoyote dhidi ya CCM mwenzake.
Shetani alivo mwema anazidi kuwaumbua ma CCM kwa maovu yao wanayoficha..
Huyo jambazi ajiangalie asije kuuliwa kupoteza ushahidi ajifiche mbali kabisa hadi waziri akamatwe
 
Angekuwa Babu Seya hapa wangemdaka fasta....

Namkumbuka Kapuya siku zile za network group alipowapiga mkwara wafanyakazi wa Tanesco na kusema anayetaka kugoma na kuwazuia Network group kuingia ofisini na athubutu, kwani Serikali ina mkono mrefu. Aliongea kwa jazba na kwa mamlaka makubwa kweli kweli. Wafanya kazi wale wakafyata mkia, na mzungu akaingia mzigoni.

Kumbe Kapuya huyo huyo anakula cheichei?!
 
Kweli CCM inafurahia huoni hata mashabiki wake wanavyotetea ubakaji.

Niliwahi kusikia Kikwete akisema "anayeambukiza ukimwi kwa makusudi si mtu wa kuhurumiwa", nategemea tamko kali toka kwake.

Ccm watatoaje kalipio kali wakati alikuwa anatekereza ilani yao ya siri.Mbinu zote alizo zitumia ni za kiccm tu.Kubaka kuko Ccm,kuuwa kuko Ccm,kumwagia tindikali kuko ccm ndiyo maana bwana mkubwa hajutii makosa aliyo yafanya.Analolitegemea nikupewa uwaziri mkuu kutokana na kazi nzuri aliyoifanya.
 
Hawa Ghasia arikiri kuwa kunakigogo serikalini anasambaza vvu hasa kwa watumishi wakike wapya wa umma,Angemtaja wakati ule angekaokoa aka kabinti.kwanza kanaitwa kanani?mbona akana jina?kabinti tu aingii akilini tupe jina lake au mnatafutia umaarufu awe PM 2015?
 
Yaani inaumiza sana, hii ingekuwa nchi ya wananchi makini hapa hawawafuatao tayari wangekuwa wamekwisha wajibishwa tayari; Sofia Simba, Anna Makinda na viongozi wote wa bunge, polisi wote waliohusika kuminya haki ya mototo mdogo huyo.
 
Wamama ingekuwa kenya chupi zote zingevuliwa na kutundikwa kwenye ofisi za ccm na bunge ili kukomesha tabia hiyo.ubakaji ccm ulianza siku nyingi na kama ukimwi ungeanza mwanzoni mwa miaka ya 70 kuna viongozi waandamizi ccm walitokana na uzao wa ubakaji na hawatoi hata kauli ingawa baba zao walikuja kulikwaa wakachomoka.
 
Wamama ingekuwa kenya chupi zote zingevuliwa na kutundikwa kwenye ofisi za ccm na bunge ili kukomesha tabia hiyo.ubakaji ccm ulianza siku nyingi na kama ukimwi ungeanza mwanzoni mwa miaka ya 70 kuna viongozi waandamizi ccm walitokana na uzao wa ubakaji na hawatoi hata kauli ingawa baba zao walikuja kulikwaa wakachomoka.

Nasubiria ktk kikao kijacho wabunge wote wakike wa upinzani waweke chupi zao za kijani juu ya meza zao pale Bungeni kupinga ubakaji wa Kapuya endapo serikali haitashughulikia jambo hili ili kushinikiza sheria ichukue mkondo wake


images
 
Hivi huyu mzee atkuwa ameambukiza watu wangapi....Atakuwa amefanya mauaji ya kimbari...
 
Wengi wao ni wabunge wa vitanda maalum..na wamebakwa sana mpaka kuwa wabunge na hata mawaziri..so ni kawaida sana kwao
 
Back
Top Bottom