MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,279
Kama kuna mtu anamjua yule jambazi aliyeagizwa akaue hao watoto lakini akawaonea huruma anipe contacts zake hata nimtumie buku. Yani Kapuya ana roho mbaya kuliko hata jambazi...!!!!
Na wewe unaamini contract killer, akifika kwa aliyetumwa kumuua anaanza story!