CCM yafunika na kuimaliza CHADEMA Kahama

CCM yafunika na kuimaliza CHADEMA Kahama

ila siasa za bongo usikute hizo kadi wamezinunua wao wenyewe ccm.
 
mi nashangaa ccm hii ya Kubwa Jinga KJ? Haaaaaaah haaaaaaah bado sana
 
Post kaa hii, nngekua kirenga nngeitupa mbali pamoja na mwenyepost kumpa kali ake,,,,😕
 
CCM ni sawa na gunia la m.a.v.i usipolitua kwa uzito wake basi utalitupa kwa harufu yake mbaya
 
CCM leo imefanya mkutano mkubwa wa Hadhara mjini Kahama na kutolea ufafanuzi Masuala mbalimbali ya msingi likiwemo Suala la mchakato wa Katiba mpya na Suala la vurugu za Bungeni zilizosababishwa na wabunge wa CHADEMA hivi karibuni.

Kasi ya Hii ya CCM ya kurejesha Imani kwa kasi kwa wanachama wao na wananchi kwa ujumla inaongozwa na Katibu Mkuu wake Kanali mstaafu Abdulrahiman Kinana na Nape Nnauye.
Hiyo ni sawa na kumwamuru mtu ale mavi. CCM ni sawa ni sawa na mavi.
 
CCM leo imefanya mkutano mkubwa wa Hadhara mjini Kahama na kutolea ufafanuzi Masuala mbalimbali ya msingi likiwemo Suala la mchakato wa Katiba mpya na Suala la vurugu za Bungeni zilizosababishwa na wabunge wa CHADEMA hivi karibuni.

Kasi ya Hii ya CCM ya kurejesha Imani kwa kasi kwa wanachama wao na wananchi kwa ujumla inaongozwa na Katibu Mkuu wake Kanali mstaafu Abdulrahiman Kinana na Nape Nnauye.
Hakuna kitu
 
Gongo imepanda kichwani,halafu akamaliza na viroba ndo kakumbuka PC
 
13775188.gif




CCM leo imefanya mkutano mkubwa wa Hadhara mjini Kahama na kutolea ufafanuzi Masuala mbalimbali ya msingi likiwemo Suala la mchakato wa Katiba mpya na Suala la vurugu za Bungeni zilizosababishwa na wabunge wa CHADEMA hivi karibuni.

Kasi ya Hii ya CCM ya kurejesha Imani kwa kasi kwa wanachama wao na wananchi kwa ujumla inaongozwa na Katibu Mkuu wake Kanali mstaafu Abdulrahiman Kinana na Nape Nnauye.
 
Yaani kwenye mkutano wa ccm wanatolea ufafanuzi fujo za bungeni? Huo mkutano ulikuwa na ajenda?
 
CCM leo imefanya mkutano mkubwa wa Hadhara mjini Kahama na kutolea ufafanuzi Masuala mbalimbali ya msingi likiwemo Suala la mchakato wa Katiba mpya na Suala la vurugu za Bungeni zilizosababishwa na wabunge wa CHADEMA hivi karibuni.

Kasi ya Hii ya CCM ya kurejesha Imani kwa kasi kwa wanachama wao na wananchi kwa ujumla inaongozwa na Katibu Mkuu wake Kanali mstaafu Abdulrahiman Kinana na Nape Nnauye.
Acheni viroba. CHADEMA hapa inahusikaje? CCM kinarudisha imani alafu tena kinakimaliza CHADEMA?
 
CDM inamalizwa kwa kadi mpya mzizotoka nazo Dar? sidhani......
 
Je imefunika kwa maana wameweza kufaulu kuwashawishi BARRICK kuwalipa fidia wananchi haki zao stahiki kutokana na migodi ya Bulyanghulu na Buzwagi? Je utapeli wa CCM katika manunuzi ya Pamba, umekwisha leo? Au wasukuma wamebaki kuwashangaklia tu maana huko nijuavyo hakuna Mbuga labda Tembo wa Serengeti.Turushie picha tushuhudie namna walivyofunika.
Hili nalo neno
 
mwananchi wa kawaida ndio nan..... wao ndio wanakihelehele ch kuchagua ccm afu baadae wanalalamika maisha magumu maisha magumu
 
CCM ni wezi matatizo ya wanachi hayatatuliwi katika mikutano ya hadhara,sasa hatuambie huyo Kinana amesha acha kuua Tembo wetu?nchi hii inahujumiwa na viongozi wa CCM na serikali yao.maana humohumo ndio wapo majangili(Kinana na wenzake wafanyabiashara wa asili ya KIASI na ridhiwani JK AKIWEPO) WAUZA madawa ya kulevya kiongozi kwa sasa Ridhiwani kikwete na IDD AZZAN na ADAM MALIMA
 
Back
Top Bottom