CCM yafunika Mpanda

Huo ndo ukweli na hapo ndipo ccm ilipo,ningeshangaa sana kama idadi ya watu ingevuka200 mbali ya kusafirishwa na kupewa ubwabwa!

mbona wameshindwa kuchakachua aka kaumati ili walau waoneka umati wa watu 2000.?ama wanachakachua kura tu?.....kizima ufa na kupotea,kifo cha ccm hakizuiliki tena hata kama itapelekwa loliondo,nenda,ccm nenda nenda!
 
hata kama wakijivua magamba sumu ni ile ile. hatudanganyiki hata kidogo CCM imekunywa sumu kali sana itakufa
 
nape anatisha jamani, yaani ccm mpya kiboko yao.Mwaka huu cdm watakoma ubishi.
 
Inasikitisha kuwa hawa watu walitakiwa wawe kazini wanafanya kazi. Kwa staili hii sijui kama taifa letu litaendelea. Kama watu tutajikita kwneye siasa na kusahau majukumu yetu ya kichumi na jukumu lote sote la kuliendeleza hili taifa, then tusahau kueradivate our poverty. Kila ukiingia hapa mara chadema yafunika sijui wapi, leo CCM yafunika kule. This will go on and on till 2015, lakini ukiangalia nchi yetu itakuwa imeachieve nini by 2015 sio kama tutaona kitu.
 

hawakukosea waliosema ccm haina watu wakufikiri ! Sasa wanaandamana kudai nini ? Wakati huu wanapaswa kutimiza ahadi kwa vitendo . Nasema hiki chama kimechoka . Cheki bango lile linalokiri kuwa ccm kuna Magamba na rushwa.
 
Nimelipenda hili bango ujumbe ni kuwa CCM wanakiri ni chama cha mafisadi lakini sio wao tu asante sana mbeba bango tumekuelewa na chama kimekuelewa.

 
Haya picha na mabango tumeyaona, leta ujumbe ulomwagwa hapo; au ndo kuachana kiaina kwa T-shirt.
 
Hakika ccm ya sasa inatia raha kweli.wanachama wa ccm wamependeza kweli hapo.tunaomba waje hata kwetu bukoba kuna masalia yanatusumbua hapa.nape njooooooooo umalize kazi
 
si hivyo vitenge vyenye picha ya kubwa la magamba hilo ndio vinafanya wamama wengi wa kijijini wanaipenda gamba na elf tano wanazo pewa.
 
Nimelipenda hili bango ujumbe ni kuwa CCM wanakiri ni chama cha mafisadi lakini sio wao tu asante sana mbeba bango tumekuelewa na chama kimekuelewa.


wanatulalamikia sisi kuwa wao ni The fisadi's , vilaza wa fikra zao, vilaza na watumwa kabisa. Bongo zao zimelala.
 
Hakika ccm ya sasa inatia raha kweli.wanachama wa ccm wamependeza kweli hapo.tunaomba waje hata kwetu bukoba kuna masalia yanatusumbua hapa.nape njooooooooo umalize kazi

Sidhani kama ni wanachama, walifuata nguo, kwanza hizo tshirt, kofia, zote ni mpya haziwahi kufuliwa hata mara moja, kwa hali ilivyo Mpanda yaani maji ya tabu na vumbi kwa wingi, hizo nguo zingekuwa na hali mbaya, mabango mawili, sijui wana mdangaya nani
 
Huu moto sijui wapinzani watauzima na nini? Nimechungulia eti ratiba za Nape zinakwisha April 2014 nadhani wakati huo wapinzani watakuwa wamekwisha chokwa na wamerekani wanaowapa dola za kufanyia fujo.
 
Ngoja wafanye mazoezi ya viungo, wapate posho na viwalo.
 
Huu moto sijui wapinzani watauzima na nini? Nimechungulia eti ratiba za Nape zinakwisha April 2014 nadhani wakati huo wapinzani watakuwa wamekwisha chokwa na wamerekani wanaowapa dola za kufanyia fujo.

huo moto wakujisifu kuwa wao ni wala rushwa. . . Pambaf*.
 

Na hao waliobeba mapango sijui kama wanajua wamebeba mabango yaliyoandikwa nini? Naona mabango na walivyo haviendani!😛ound:
 
kwanza ni akina mama na wazee hao siyo vijana hakika huo ndio ukweli na hao watakuwa wamepewa pesa na pia awajui nini kinaendelea ndani ya chama cha magamba
 
Msitishwe na umati kiduchu huo, Nape amewahi sema CCM (wana magamba) ( Chukua Chao Mapema, yaani cha watanganyika) kuwa na wanachama milioni 5 sio tija; maana hata katika maeneo ambayo ccm ina wanachama wengi, ushindi umeenda kwa wapinzani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…