CCM yafunika Mpanda

CCM yafunika Mpanda

ACHEBE

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2008
Posts
348
Reaction score
76
KATIBU wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye na Katibu wa uchumi na fedha Mwigulu Nchemba wameongoza maandamano leo kutoka ofisi ya CCM wilaya ya Mpanda kwenda kwenye Uwanja wa Shaulili ambapo wamefanya mkutano mkubwa wa hadhara uliohudhuriwa na maelfu ya watu. Hakika wana Mpanda wameikubali sana CCM.

CCM-Mpanda.jpg

mabango-mpanda.jpg

umati-mpanda.jpg
 

Attachments

  • 2[1].JPG
    2[1].JPG
    212.3 KB · Views: 638
  • 3[1].JPG
    3[1].JPG
    186.3 KB · Views: 675
  • 1 (1).JPG
    1 (1).JPG
    124.1 KB · Views: 147
Chama tawala na maandamano ya nini huu ni wakati wa kushughulikia matatizo ya wananchi na kutekeleza ahadi badala ya kuandamana.
 
KATIBU wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye na Katibu wa uchumi na fedha Mwigulu Nchemba wameongoza maandamano leo kutoka ofisi ya CCM wilaya ya Mpanda kwenda kwenye Uwanja wa Shaulili ambapo wamefanya mkutano mkubwa wa hadhara uliohudhuriwa na maelfu ya watu. Hakika wana Mpanda wameikubali sana CCM.

Hapo naona wengi ambao hawaelewi nini wanafanya vile vile wengi wamepewa T-shirts na kofia sijaona mtu alievaa tofauti
 
Wao hawa hatarishi amani ya nchni?!

Nimependa sana hili bango la Nape, huu ni Ujumbe tosha kuwa CCM imekubali kuwa wanao mafisadi na hawata wafukuza kama walivyotaka kutudanganya!yaani mafisadi wanao na sehemu yao milele maana wao wanaamini wanaweza kuwepo chama chochote!

Kazi kweni watanzania habari mmeipata
attachment.php
 
duu wa ki mama wamevaa nguo za bure na elfu tano toka kwa mafisadi kazi ipo?
 
Hapo naona wengi ambao hawaelewi nini wanafanya vile vile wengi wamepewa T-shirts na kofia sijaona mtu alievaa tofauti

mitazamo bapa kama huu utawachelewesha watanzania wengi kujielewa na kuchukua hatua muhimu za kuleta maendeleo ya kweli katika nchi yetu.,nani kahukumu ya kuwa anayevaa kijani hana ufahamu wa nchi.,lakini mavazi pekee pia hayatoshi kuwa kigezo kikuu cha ufuasi.,ingawa ni kiashiria,tambua&thamini uwezo binafsi wa mtu kabla haujahukumu kundi.
 
KATIBU wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye na Katibu wa uchumi na fedha Mwigulu Nchemba wameongoza maandamano leo kutoka ofisi ya CCM wilaya ya Mpanda kwenda kwenye Uwanja wa Shaulili ambapo wamefanya mkutano mkubwa wa hadhara uliohudhuriwa na maelfu ya watu. Hakika wana Mpanda wameikubali sana CCM.
Mushukuru maroli ya sumry yaliyowakusanya toka vijijini vinginevo mngeambulia
chekechea tu
 
Nadhani wana haki ya kufanya hivyo, ninazipongeza juhudi zinazoonyeshwa na CCM kwa ujumla, ingawa ninathubutu kusema gharama ya juhudu hizi ni kubwa mno kupita wanavyofikiri sasa. Pia itachukua muda kuweza kuweka mambo sawa na kurudisha imani, si kwamba haiwezekani, ila kwa tabia za hao wasio na maadili ambao bado ndio wafadhili wakuu, na ukizingatia CCM haina vyanzo vya kutosha vya mapato zaidi ya tabia mbaya iliyojengwa ya kuombaomba kutokana na ufisadi uliofanywa kwa mali za CCM (kipindi hicho).

Kijana Nape bila kujali itikadi anaonyesha kuwa mwenye uwezo katika kujenga na kutoa hoja (tuache ushabiki) ila yuko isolated, maana akitoka yeye kwenye jukwaa anaefuata anaongea pumba so anadilute points na hoja zote alizokuwa anaziwekea mkazo Nape... kazi ipo sidhani kama moto huu utawafikisha popote

Mpanda sishangai maana ndio nyumbani kwa WM.

CHADEMA ongezeni nguvu, imarisheni vita vyenu kwa hoja kama mnavyofanya, ila wale wana CHADEMA ndani ya JF punguzeni siasa za matusi ili kuonyesha busara na upevu mlio nao maana hata kama una hoja ukitukana unaonekana uwezo wako wa kuwakilisha au kukazzia hoja ni mdogo unategemea zaidi jazba na ushabiki. Igeni mfano wa baadhi ya viongozi wenu
 
Hao watu hawazidi 200 pamoja na kupewa unifomu!
Aibu tupu!

Hawafiki 200 hao, halafu ni aibu sana kwamba wapo wanaccm tupu na sare zao, sasa anakwenda kuwahutubia nini kipya? ccm inabidi ifanye mikutano ihudhuriwe na wananchi wote hapo ndipo unaweza kujuwa imani ya Watanzania ikoje, hao watu wanaonekana kabisa wote wamepewa fulana, kofia na kanga kwa mtaji huu ccm wanajidanganya wenyewe, angalia kwenye hiyo picha wananchi halisi ambao hawajanunuliwa wala hawana habari na hayo maandamano, hii ni aibu kubwa.

Ninachojuwa mimi Nape anachofanya sasa hivi ni kubuni ziara nyingi kadiri inavyowezekana ili ambulie mapema miposho ya safari, maana mwakani kuna uchaguzi mkuu wa ccm anaweza asiwepo, sasa hataki kufanya makosa kama ya marehemu baba yake aliekufa bila hata kuwa na kibanda Dar es salaam hadi kupelekea msiba wake ufanyike nyumbani kwa Makamba. Nape sio mjinga kama mnavyoweza kufikiri.
 
KATIBU wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye na Katibu wa uchumi na fedha Mwigulu Nchemba wameongoza maandamano leo kutoka ofisi ya CCM wilaya ya Mpanda kwenda kwenye Uwanja wa Shaulili ambapo wamefanya mkutano mkubwa wa hadhara uliohudhuriwa na maelfu ya watu. Hakika wana Mpanda wameikubali sana CCM.

mkuu huwa unatumia aina gani ya kilevi, au huwa unachanganya?

Haya ni maandamano ya CCM si ya wananchi kama ya Chadema



nimejaribu kuikuza hii picha mwanzo wa watu ni nape na mwisho ni yale magari, ukweli ni kama watu 130-150
 
Jamaa wamejitahidi,ingawa sio funika ni fumuka,nyuso za watu haziashirii kama wanafanya kazi wanayoipenda,ila kuweni na ubunifu maana mnaiga kila kitu toka kwa CHADEMA
 
Hakuna cha kuiga chadema CCM style ya kufanya mikutano kwa kuandamana kuunga mkono sera zao wameanza siku nyingi ila ninyi mliozaliwa juzi mnadhani hii ni ya CDM, lakini tumewasamehe mkikua mtaacha. kwani mawazo ya kitoto hudumu kipindi cha utoto ukiwa mtu mzima utafikiri kiutuuzima na hapo ndipo utakapo ijua real CDM. Wenzenu wanaoijua vizuri wamekaa kimya sasa na wanashindwa kutoka kuwaeleza ukweli watanzania kwa sababu walipokuwa hawaijui CDM waliisema vibaya CCM sasa hawawezi kuisema vibaya CDM ambayo walidhani ndiyo haina mapungufu kabisa.
 
Haya magamba yanawatesa sana mama zetu. Sijui tutumie nini ili watuelewe maana wao na kanga tu basi wanayafuata magamba. Nadhani kuna haja ya viongozi wanawake wa CDM kulifanyia kazi jambo hili. Inabidi waende vijijini wakawaelimishe mama zetu maana bado hawajajua kuwa watu walishaachana na ccm muda mrefu lakini wao hawajui kama CCM ilishakufa.


Jamani Wanawake wa CDM mnamkakati gani na hawa mama zetu huko vijijini? Hatunashida na vijana wanafanya vizuri na ndo tunawaona wakiwa mstari wa mbele kwenye maandamano kila mahali yanapofanyika.

Kuna haja ya CDM kukaa chini na kulifikiria hili maana tukumbuke hawa tusipofanya hivyo tunaweza kujikuta 2015 na hawa wa mama bado wako magambani na wananawake ni wapiga kura wazuri sana na hata magamba yanajua na ndiyo mtaji wao mkubwa.
 
Back
Top Bottom