Naibu Katibu Mkuu CCM Tanzania Bara Ndg Rodrick Mpogolo leo amehitimisha kampeni za mgombea ubunge wa CCM uchaguzi mdogo wa jimbo la Liwale kwa kishindo kwani zimehudhuriwa na maelfu ya wananchi wa Jimbo hilo.
Nasikia ccm imewaandalia polisi na wasimamizi wa uchaguzi party ya nguvu jioni hii. Kesho wenye akili timamu hawashiriki huo upuuzi unaiotwa uchaguzi. Kesho jitekenyeni na kucheka wenyewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.