kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 20,259
- 13,268
Nitamwangalia JK
Ili uone vichekesho?
Nitamwangalia JK
Katika hali isiyotarajiwa Chama cha Mapinduzi (CCM) mkoani hapa juzi, ilibuni mbinu za kuzuia kutangazwa kwa mkutano wa Dk. Slaa baada ya kuitisha kikao na waandishi wa habari wa vyombo vyote katika muda ambao katibu huyo wa CHADEMA alikuwa akihutubia.
Habari za uhakika kutoka ndani ya CCM, zilisema kuwa ingawa ilidaiwa kuwa mkutano huo na waandishi wa habari ulikuwa na lengo la kumtambulisha katibu mpya wa chama hicho wilaya ya Mbeya mjini ambaye amefika baada ya yule wa awali kuhamishwa, lakini nia kubwa ilikuwa kuukwamisha mkutano wa Dk. Slaa.
Habari zinadai kuwa CCM iliwaambia waandishi wa habari waliohudhuria mkutano huo kuwa walitaka pia kuzungumzia masuala yahusuyo mchakato wa uundwaji wa Katiba mpya ambapo wamelenga kutuma makada wa chama hicho kuelimisha umma juu ya jambo hilo.
Katibu mpya wa CCM wilaya, Raimond Mwangwale, alisema uelimishaji huo utafanyika siku tatu mfululizo kuanzia Januari 12, katika kata 36 za jimbo la Mbeya mjini.
Mmoja wa makada maarufu wa CCM alilithibitishia Tanzania Daima ukweli wa mkutano huo na waandishi, ingawa alikiri kuwa mbinu yao haikufanikiwa sana. Alikiri kuwa hotuba za Dk. Slaa zimekuwa na madhara makubwa kwa CCM na imekuwa ni vigumu zaidi kuzifuta katika akili za wananchi ambao wameonyesha kuamini kila akisemacho
SOURCE:TANZANIA DAIMA
Msiendelee kum-discuss ili ajione kama kinyesi karibu ya chakula!watu kama hawa wapumbavu sana mkuu.
Uongozi wa chadema mbeya umesambaratika,kutokana na mambo mbalimbali ya kijamii na kiuchumi yanayojitokeza kila kukicha.viongozi hao wameiona chadema kuwa ni chama kisicho na mwelekeo zaidi ya kuhamasisha vurugu na maandamano yasiyo na tija.
Kama zote zinamwonyesha Dr Slaa nauza TV zangu zote
Kwa sababu nyinyi wanawake mnamuita handsome lazima utafanya hivyo tuNitamwangalia JK
Kama zote zinamwonyesha Dr Slaa nauza TV zangu zote
Nitamwangalia JK
Chadema malalamiko mengine yanaonekana wazi hayajaenda shule.
Hata mzee wa miaka 100 tena anayetoka sweken kabisa kule Kipili au kilando au hata lyamba lya mfipa huwezi mwambia uwongo kama huu.
Je waandishi hao wamezuiliwa kivipi? Je hilo si jukumu la mwandishi kuamua anakwenda wapi na kupima umuhimu wa habari kwa jamii.
Naona sasa mmefilisika na kuanza kulalama kila jambo.
Uongozi wa chadema mbeya umesambaratika,kutokana na mambo mbalimbali ya kijamii na kiuchumi yanayojitokeza kila kukicha.viongozi hao wameiona chadema kuwa ni chama kisicho na mwelekeo zaidi ya kuhamasisha vurugu na maandamano yasiyo na tija.
Kwa sababu nyinyi wanawake mnamuita handsome lazima utafanya hivyo tu
Mimi ni mara kumi kuangalia katuni ya tom and jerry kwenye tv yangu lakini si huyu mtu wenu jk
Kama kuna channel 2 kwenye TV,moja Dr Kikwete na moja Dr Slaa. Ntamwangalia Dr Slaa!
Ni mteule wa MUNGU, Tanzania-Africa, kusini mwa jangwa sahara. tupme kura za ndio
Ha ha ha.
Pelekeni utunzi wenu kwenye vitabu vya hadithi.
OTIS
Chadema malalamiko mengine yanaonekana wazi hayajaenda shule.
Hata mzee wa miaka 100 tena anayetoka sweken kabisa kule Kipili au kilando au hata lyamba lya mfipa huwezi mwambia uwongo kama huu.
Je waandishi hao wamezuiliwa kivipi? Je hilo si jukumu la mwandishi kuamua anakwenda wapi na kupima umuhimu wa habari kwa jamii.
Naona sasa mmefilisika na kuanza kulalama kila jambo.
Uongozi wa chadema mbeya umesambaratika,kutokana na mambo mbalimbali ya kijamii na kiuchumi yanayojitokeza kila kukicha.viongozi hao wameiona chadema kuwa ni chama kisicho na mwelekeo zaidi ya kuhamasisha vurugu na maandamano yasiyo na tija.