Tunguja
JF-Expert Member
- Feb 15, 2018
- 501
- 406
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ,inaniuma sana yaani ,sijui CCM tufanyeje ili wapinzani wachukiwe kabisa na Watanzania?Aina ya watu kama wewe ndo ccm wengi wajinga hasa? Bomdadier ndo nini? unajua ni lini hiyo pesa iliyotumika kununua hizo ndege itarudi?
watanzania wangapi watafaidika na hizo ndege?
mnaoipenda ccm wengi wenu ni wajinga hasa.