Hiyo source ya hizo taarifa kidogo ina ukakasi, angalau ingetoka kwenye neutral newspaper kama vile the Economist
Ila inaniuma sana pale ninapoona viongozi wa upinzani wakitoka ndani wafuasi wao wanawapokea kwa shangwe,pamoja na kununua bombardier Watanzania bado tu hawaelewi sijui wanataka nini?
Je, unataka kujua kwanini Chama cha Mapinduzi(CCM) kinakubalika na wanatanzania wengi?.
Soma; Gazeti la Uhuru Aprili 5,2018
View attachment 734902
Hivi hicho chama chako kinakubalika, kinashindana na kina nani?! Kinakubalika mngekataa ushauri wenye nia njema wa viongozi wa dini juu ya katiba ?!Je, unataka kujua kwanini Chama cha Mapinduzi(CCM) kinakubalika na wanatanzania wengi?.
Soma; Gazeti la Uhuru Aprili 5,2018
View attachment 734902