Elections 2010 CCM Yaanza Kampeni Rasmi kwa Mwamvuli wa Kura za Maoini NEC Iko Usingizini?

Albedo

JF-Expert Member
Feb 24, 2008
5,559
1,452
Tangu wiki iliyopita Chama cha Mapinduzi CCM kimeanza Mchakato wake wa Kuwapata wagombea wake wa viti vya Udiwani na Ubunge, katika michakato hiyo watoa nia Mbalimbali wamekuwa wakipita katika kata mbali mbali kuuza sera zao ili wapitishwe kugombea Nyazifa hizo.

Nilitegemea basi katika kampeni hizo Wagombea hao wangejikita zaidi katika kuelezea Udhaifu wa Wapinzani wao ( katika kuwania kuteuliwa) Lakini kuna baadhi ya Maeneo nimeona Kabla ya Mkutano kuanza Zinapigwa Nyimbo kama Wapinzani Tuwachanechane na pia Chagua Kikwete 2010

Je Wana Jamvi huku sio kuanza kampeni kabla ya Muda?
Je Tume ya Uchaguzi hailioni hilo
Je Vyama vingine navyo vikianza kuwanadi Wagombea wao si itakuwa Vurugu?

Nakemea vikali kitendo hicho na naenda mbali kuilaani Tume ya Uchaguzi kuacha Vitendo hivi vikiafanya mbele ya macho ya Sheria, hii inaleta Uwanja usio sawa wa Ushindani maana Wengine Washaanza Kampeni tayari kwa MWAMVULI WA KURA ZA MAONI

Nashauri ni Vizuri NEC ikaweza wazi ni nini kinapaswa kufanyika/kutamkwa/kuimbwa katika kura za maoni na nini hakipaswi kutamkwa

Kama NEC wakiendela kukaa kimya Nawashauri vyma vingine kama CHADEMA vianze navyo Kampeni
 
Tangu wiki iliyopita Chama cha Mapinduzi CCM kimeanza Mchakato wake wa Kuwapata wagombea wake wa viti vya Udiwani na Ubunge, katika michakato hiyo watoa nia Mbalimbali wamekuwa wakipita katika kata mbali mbali kuuza sera zao ili wapitishwe kugombea Nyazifa hizo.

Nilitegemea basi katika kampeni hizo Wagombea hao wangejikita zaidi katika kuelezea Udhaifu wa Wapinzani wao ( katika kuwania kuteuliwa) Lakini kuna baadhi ya Maeneo nimeona Kabla ya Mkutano kuanza Zinapigwa Nyimbo kama Wapinzani Tuwachanechane na pia Chagua Kikwete 2010

Je Wana Jamvi huku sio kuanza kampeni kabla ya Muda?
Je Tume ya Uchaguzi hailioni hilo
Je Vyama vingine navyo vikianza kuwanadi Wagombea wao si itakuwa Vurugu?

Nakemea vikali kitendo hicho na naenda mbali kuilaani Tume ya Uchaguzi kuacha Vitendo hivi vikiafanya mbele ya macho ya Sheria, hii inaleta Uwanja usio sawa wa Ushindani maana Wengine Washaanza Kampeni tayari kwa MWAMVULI WA KURA ZA MAONI

Nashauri ni Vizuri NEC ikaweza wazi ni nini kinapaswa kufanyika/kutamkwa/kuimbwa katika kura za maoni na nini hakipaswi kutamkwa

Kama NEC wakiendela kukaa kimya Nawashauri vyma vingine kama CHADEMA vianze navyo Kampeni

Mkuu mimi knachonishangaza ni kitu kimoja. Katika nchi za kidemokrasia uchaguzi wowote ule unatakiwa kusimamiwa na Electoral commission, iwe ni primary (kura za maoni), au uchaguzi kamili. Sisi tunajifanya uchaguzi wa ndani kwa kuruhusu wagombea kuchaguliwa siku moja yaani hapo ninakwambia CCM wataanza kutoana macho wenyewe kwa wenyewe na baadae kueleza ni jinsi gani huwa wanahujumu uchaguzi.

Ilitakiwa Tume ya uchaguzi kuweka bayana kuwa kuanzia July 1 ni siku ya kampani na baada ya mwezi mmoja wanafanya approval ya majina yatakayoingia kwenye balot October kutoka kwa walioshinda Primaries. Ila kwa kulinda masilahi yao vigogo wa CC wao ndiyo wanapiga muhuri nani agombee na nani asigombee kwa kukata majina ya watu wanaaona hawana masilahi kwao.
 
Back
Top Bottom