CCM yaamua kugawa watanzania rasmi!

CCM yaamua kugawa watanzania rasmi!

BONGOLALA

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2009
Posts
16,511
Reaction score
11,911
Kada wa CCM Bulembo amesema maandamano ya CHADEMA yaanzie Kilimanjaro kwanza!

Amesema kila maandamano hayafanyiki Kilimanjaro bali sehemu zingine, na waziri na naibu wa Elimu hawajiuzulu kamwe
 
Nimelisikia hilo jamaa nikataka kurusha ngumi kumbe ni TV......hivi mtu mzima mwenye akili timamu unawezaje kusema hivyo.......kwamba maandamano hayawezi kufanyika Kilimanjaro maana familia zao zipo huko........kwa hiyo wote waliopo CHADEMA ni wachagga nchi nzima?..........jamaa pumbavu kweli......CCM ina mabongolala yakutosha......****$¥+.....
 
"Kasema Uchaganism ndio unaoingoza Chadema!".....wametugawa kwa uzanzibar vs utanganyika, ukristo vs uislamu, na sasa uchagan vs kwingineko!.......
?????????
 
Hivi punde nimemsikia M/kiti wa jumuiya ya wazazi CCM alihaji Majura Bulembo akidai kuwa maandamano yaliyotangwaza na CDM kufanyika ktk miji minne tar. 25 mwezi huu kudai kujiuzulu waziri wa elimu yanapaswa kuanzia Moshi. Kwa maelezo kuwa huko ndiko kwenye watoto na jamaa za wana-CHADEMA.

Badala yake eti maandamano yametajwa kufanyika katika miji mingine ili watoto na jamaa zao(wana - CHADEMA) wasipate madhara. Je ni sahihi Bulembo kuitaja CHADEMA kama chama watu wa Moshi? Nijuavyo mimi CHADEMA ni cha watanzania wengi ktk mikoa yote ya Tz.

Wanajamvi naomba kusahihishwa endapo nimekosea. Source: taarifa ya habari ITV
 
Nimemsikia anaongea huo uharo,Mbaya zaidi anazungumzia eneo lile lile ambalo kuna askari waliua mfanya biashara Nakumpora milioni 350 wala hakukemea hilo,Amezungumza uharo huo ktk eneo ambalo wananchi wanadhurika na madini ya zebaki ambayo imetokanana mikataba yao ya kifisadi.Hana busara hata kidogo anaona ni sahihi wachaga kufa,Halafu ktk maongezi yake amethibitisha pasipo shaka kuwa mauajiyanayofanywa na polisi ktk maandamano yanaratibiwa na CCM.
 
Kada wa ccm bulembo amesema maandamano ya Chadema yaanzie kilimanjaro kwanza!amesema kila maandamano hayafanyiki kilimanjaro bali sehemu zingine.na waziri na naibu wa elimu hawajiuzulu kamwe
Bulembo hana jipya ila CCM kwanza elimu baadae..
 
Na mimi nimemsikia nikashangaa île mbaya. Sasa sisi ambao ni CCM na tunatoka KIlly anataka tumweleweje? Kwamba Killy ni ya CHADEMA? Jamani kabla watu hajaongea wawe wanatafakari athari mbaya za matamshi yao kwa jamii.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Hiyo kauli imenisikitisha sana! Kwa nini watugawe kwa ukabira wakati sisi ni wamoja?
 
Kada wa ccm bulembo
amesema maandamano ya Chadema yaanzie kilimanjaro kwanza!amesema kila
maandamano hayafanyiki kilimanjaro bali sehemu zingine.na waziri na
naibu wa elimu hawajiuzulu kamwe

CCM wapi falsafa, wapi sera wapi itikadi ...? Mbona porojooooooooh tu???!
 
Hapa kuna swali la kujiuliza kwa wanaCCM wanaoishi kilimanjaro!
 
Huyu jamaa asubiri 2015 kama hatujamtumbua hilo tumbo lake na mashavu ka paka kaficha panya ..yr deadline is 2015,oct.
 
Kwanza huyu jamaa amepata hicho cheo kwa kuhonga, mtu hata udiwani tu umemshinda unategemea ataongea jambo lolote lenye maana!? maCCM sasa hivi yameshajichokea, hakuna kiongozi kule kila mtu anaangalia ulaji wake na familia yake.

Ndo maana wanafanya kila aina ya propaganda ili waendelee kula. Lakini mwisho wao umewadia, ndo maana wanatapatapa sasa. Aibuuuuuu maCCM aibuuuuuu poliCCM aibuuuuuuu magamba
 
Tusishangae saaana kwani ni ndivyo walivyo hawa jamaa, kama walishawahi kusema hawajui kwanini TZ ni maskini, tusitarajie mapya. na bado video yao inawasubiri wathibitishie mahakama.
 
Ni mjinga asiyezuia ulimi wake.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom