Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 16,715
- 41,484
- Thread starter
- #21
Wanafanya ushetani wote. Fikiria mtu anatengeneza kundi la utekaji, limteke na kumpiga mgombea wa upinzani, anatangazwa amepita bila kupingwa, halafu bila aibu anaenda kanisani au msikitini, analazimisha apate nafasi ya kusimama madhabahuni, na kujifanya anahubiri upendo.Mkuu hapo sijazungumzia uchaguzi:
Kuna kuingiza kura fekikwenye sanduku la kura, kteka wagombea wa upinzani wanaporudisha fomu, kupita bila kupingwa, kuwanyima wapinzani barua za mawakal(ref yule shetani Kagurumujuli alichofanya kikasababisha kifo cha Acquerina) kuiba masanduku ya kura na kukimbia nayo, Tume ya ccm kutojibu malalamiko ya ya wananchi, kuvuruga kampeni za wapinzani, kwazuia wapinzani kufanya kampeni, kutangaza washindi feki, na mbinu zingine chafu. Actually shetani amepiga kambi Lumumba
Uovu aliomtendea mgombea mwenzake anaona hautoshi, anathubutu kwenda kuinajisi madhabahu ya Mungu!! Hawa wanaenda kuchota laana yao na vizazi vyao. Mbaya zaidi hawa ndio wanaotuongoza, halafu tunatarajia nchi ipate maendeleo!!
Tanzania hatua ya kwanza ya maendeleo itapatikana siku CCM itakapokuwa imeondolewa, na watu wakajitenga na uovu wa CCM.