Mkuu supika wetu Siku zake si nyingiHuyo Spika sijui nini na yeye atasepa? ili Mama asipate usumbufu
NdiyoHuyu anayetembezwa juani saa hiiz?
Ona huyu Zwazwa, MATAGA mna shida sana nyie.Wapinzani waache hila na ukorofi wa zama za Lema, kila siku kutaka maandamano. Wananchi wataka siasa safi inayoleta maendeleo. Siyo kupinga kila kitu.
Anawashwa?Ona huyu Zwazwa, MATAGA mna shida sana nyie.
jiandae mama,ukipenda boga usitupe maua.Ninafarijika,
CCM imerudi kwenye Mikono salama,
Angalizo
Pamoja na CCM kukiuka baadhi ya Misingi 2015-2020 ila rushwa ya hadharani haikuwepo,
Nisingependa Kusikia
1. Wizi wa keki ya Taifa
2. Ubaguzi wa wengine
3. Tukubali Kukosolewa
4. Wapinzani ni ndugu zetu
5. Isimamie Serikali kuleta umoja
6. Isimamie serikali kuajiri
MAMA SAMIA TUNAKUSIHI SANA ULETE MSHIKAMANO
Britannica
Hapana rushwa imekuwepo sana kipindi hhiki cha JPM tena sana na rushwa kubwa ambazo zilikuwepo ila hazikuongelewa lakini zilikuwepo rushwa kuanzia juu kabisa ya uongozi hadi chini ila hazikuzungumzwaNinafarijika,
CCM imerudi kwenye Mikono salama,
Angalizo
Pamoja na CCM kukiuka baadhi ya Misingi 2015-2020 ila rushwa ya hadharani haikuwepo,
Nisingependa Kusikia
1. Wizi wa keki ya Taifa
2. Ubaguzi wa wengine
3. Tukubali Kukosolewa
4. Wapinzani ni ndugu zetu
5. Isimamie Serikali kuleta umoja
6. Isimamie serikali kuajiri
MAMA SAMIA TUNAKUSIHI SANA ULETE MSHIKAMANO
Britannica
kama hazikuonekana wewe umezijuaje??Hapana rushwa imekuwepo sana kipindi hhiki cha JPM tena sana na rushwa kubwa ambazo zilikuwepo ila hazikuongelewa lakini zilikuwepo rushwa kuanzia juu kabisa ya uongozi hadi chini ila hazikuzungumzwa
Ukisema alikuwa na mapenzi mema na nchi yake nitakukatalia katakata kwasababu hakutaka uwazi katika matumizi ya fedha kitu ambacho kinamuondolea usafi na lipenda sana usiri kwenye matumizi ya fedha nadhan Asad analijua hilo vyema .Magufuli alikuwa na mapenzi mema na nchi yake kwa kiasi kikubwa lakini tatizo lilikuwa jinsi alivyokuwa anatekaleza mambo yake kufikia hayo malengo mazuri.!!! He had no empathy!
hakuna cha katiba mpywa wala kaniki mpya,mwendo ni ule ule.Baada ya kujaribu madaraka kwa mtu asiyekuwa na maono ya umoja wa kitaifa, aliyeamini katika ubabe na kupora chaguzi. Ni wakati wa kupigania katiba mpya na taasisi huru nchini.
Katiba iliyopo isipobadilishwa inaweza kuleta tena janga kuliko tulilokuwa nalo
Nielewe nimesema hazikuongelewa sio hazikuonekana rudia kusoma na sababu za kuto kuongelewa kama wewe sio mnafiki unazijua vyema.kama hazikuonekana wewe umezijuaje??
ulikuwa umezaliwa kipindi cha jk wa msoga au unasikia tu rushwa rushwa rushwa.unawaza elfu mbili mbili za traffic???
ZWAZWA mwenyeweOna huyu Zwazwa, MATAGA mna shida sana nyie.
ndio zile za tilione 4.2!!!Nielewe nimesema hazikuongelewa sio hazikuonekana rudia kusoma na sababu za kuto kuongelewa kama wewe sio mnafiki unazijua vyema.
Ninafarijika,
CCM imerudi kwenye Mikono salama,
Angalizo
Pamoja na CCM kukiuka baadhi ya Misingi 2015-2020 ila rushwa ya hadharani haikuwepo,
Nisingependa Kusikia
1. Wizi wa keki ya Taifa
2. Ubaguzi wa wengine
3. Tukubali Kukosolewa
4. Wapinzani ni ndugu zetu
5. Isimamie Serikali kuleta umoja
6. Isimamie serikali kuajiri
MAMA SAMIA TUNAKUSIHI SANA ULETE MSHIKAMANO
Britannica
Basi sawahakuna cha katiba mpywa wala kaniki mpya,mwendo ni ule ule.
tena mama atawabinya kweli kweli maana mna kelele zisizo na malengo maalumu.
YesCCM the rulling party.
Nia AIbu kwa CCM KUOGOPA KATIBA MPYA na MIKUTANO ya Vyama vya Upinzani kwa kisingizio cha kujenga UchumiNinafarijika,
CCM imerudi kwenye Mikono salama,
Angalizo
Pamoja na CCM kukiuka baadhi ya Misingi 2015-2020 ila rushwa ya hadharani haikuwepo,
Nisingependa Kusikia
1. Wizi wa keki ya Taifa
2. Ubaguzi wa wengine
3. Tukubali Kukosolewa
4. Wapinzani ni ndugu zetu
5. Isimamie Serikali kuleta umoja
6. Isimamie serikali kuajiri
MAMA SAMIA TUNAKUSIHI SANA ULETE MSHIKAMANO
Britannica
EnheeCCM the rulling party.