CCM Wilayani Tunduma “dhooful hali”

CCM Wilayani Tunduma “dhooful hali”

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
122,521
Reaction score
96,267
Leo hii mjini Tunduma wana CHADEMA wameionyesha CCM kuwa bado wapo na chama chao na hivyo kuizima kabisa CCM.

Hiyo imekuja baada ya wana Tunduma maelfu kujitokeza kwenye mapokezi ya aliye kuwa Mbunge wao Mwakajoka kwa shangwe na nderemo na kuufanya mji wa Tunduma kusimama kwa muda huku shughuli za uzalishaji mali zikisimama kwa muda.

Hii ni kuionyesha CCM kuwa kama walikuwa na ndoto za kulinyemelea jimbo hilo wasipoteze fedha zao na muda wao kwani wana Tunduma bado wapo na CHADEMA.
20200625_184210.jpeg
20200625_184149.jpeg
20200625_184131.jpeg
 
Hakika mkuu, yaani mikusanyiko imekatazwa kwa miaka mitano lkn bado wapinzani wa kweli bado wapo na chama chao na ndiyo wanazidi kukiamini na kukipenda zaidi.
.....Mkuu vijana wengi hawana ajira uchumi umeporomoka maisha magumu HUO MLIPUKO KIPINDI CHA KAMPENI USIOMBE
 
Maweee mmeanza kujamba eeee?
Karibu hapa FARU DUME kile kitu Cha mh.MWENYEKITI....
 
Wacha hawa wanao jifananisha na yesu waelewe kuwa watanzania wa leo siyo wa ndiyo mzee
.....Mkuu vijana wengi hawana ajira uchumi umeporomoka maisha magumu HUO MLIPUKO KIPINDI CHA KAMPENI USIOMBE
 
Historical Mistake Waliofanya Ccm Ni Kununua Makapi Na Kuacha Kununua Wapiga Kura
Akili yao iliwatuma kuwa, wakinunua makapi yatakuwa yakifuatwa na wanachama! watapata tabu sana na ubaya ni kwamba watu wamehifadhi hasira vifuani, utakuwa mtifuano ambao hawakuutarajia!
 
Chama kinajengwa kwa mapichapicha.Chadema mmekwama.
kwahiyo hao ndo wapiga kura wote wa tunduma?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom