CCM wekezeni kwenye akili acheni kutumia mitulinga

CCM wekezeni kwenye akili acheni kutumia mitulinga

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
25,848
Reaction score
50,564
Wanasaikolojia husema binadamu (siyo mtu) dhaifu hujaribu kuficha udhaifu wake kwa kufanya mambo yake kwa kutegemea mitulinga.

CCM imekuwa inaongoza nchi hii Kwa zaidi ya miaka 33 sasa tangu mfumo wa vyama vingi urejeshwe hapa nchini.

Lakini Katika jambo ambalo CCM wameshindwa kabisa kulitafutia ufumbuzi ni suala la ajira (siyo kazi) na ujira Bora Kwa watanzania.

Miaka nenda miaka rudi kwa zaidi ya miongo mitatu sasa CCM haijui ifanye nini kuongeza ajira na kuweka uhakika wa ajira kwa watanzania huku ujira kwa watanzania ukiwa mzuri na wa uhakika.

Hali hii inatokana na CCM kuwaza kuwa ajira ni kazi na kuwa kila kazi ni ajira. Upotofu huu umefanya ajira kisiwe kipaumbele cha CCM.

Viongozi kadhaa utawasikia wakisema kuwa "kama maisha ya mjini yamekushinda rudi kijijini ukalime". Yaani zama hizi kweli kulima kwa jembe la mkono inakuwaje ni chanzo cha ajira!?

Ukisikiliza jinsi CCM inavyowaona wamachinga, bodaboda au wapiga debe kuwa ni ajira rasmi, ndipo unapojua kuwa CCM inaona ajira ni kazi za kutoka jasho pekee!

CCM wekezeni kwenye matumizi ya akili ili kuongeza ajira kwa watanzania.
 
Wanasaikolojia husema binadamu (siyo mtu) dhaifu hujaribu kuficha udhaifu wake kwa kufanya mambo yake kwa kutegemea mitulinga.

CCM imekuwa inaongoza nchi hii Kwa zaidi ya miaka 33 sasa tangu mfumo wa vyama vingi urejeshwe hapa nchini.

Lakini Katika jambo ambalo CCM wameshindwa kabisa kulitafutia ufumbuzi ni suala la ajira (siyo kazi) na ujira Bora Kwa watanzania.

Miaka nenda miaka rudi kwa zaidi ya miongo mitatu sasa CCM haijui ifanye nini kuongeza ajira na kuweka uhakika wa ajira kwa watanzania huku ujira kwa watanzania wakiwa mzuri na wa uhakika.

Hali hii inatokana na CCM kuwaza kuwa ajira ni kazi na kuwa kila kazi ni ajira. Upotofu huu umefanya ajira kisiwe kipaumbele cha CCM.

Viongozi kadhaa utawasikia wakisema kuwa "kama maisha ya mjini yamekushinda rudi kijijini ukalime" yaani zama hizi kulima Kwa jembe la mkono inakuwaje ni chanzo cha ajira!?

Ukisikiliza jinsi CCM inavyowaona wamachinga, bodaboda au wapiga debe kuwa ni ajira rasmi, ndipo unapojua kuwa CCM inaona ajira ni kazi za kutoka jasho pekee!

CCM wekezeni kwenye matumizi ya akili ili kuongeza ajira kwa watanzania.
Ni muhimu zaid kila chama cha siasa kikajizatiti kikamilifu kwenye misingi, itikadi, madhumuni na malengo ya kuanzishwa kwake.

kumbwelambwela kwa vyama vya siasa, kuyumba na kubabaika na agenda nonsense,
mara leo kudai hiki, kesho inakua saccos, mtondogoo kimegusa na kudandia lingine n.k hakutawafikisha popote zaidi ya kuwapotezea uelekeo,

huku wenye kusimamia malengo yao wakipeta bila mbambamba yoyote kuyatimiza na vyama vilivyo poteza uelekeo vikilalamika dhidi ya mafanikio ya chama kinachoimarika na kua kikubwa zaidi kimkakati 🐒
 
Hata kuiba Kura pia wanatumia mitutu ya Polisi
Screenshot_20250405_004437_X.jpg

Hata kuua Wapinzani pia
mawaaazoo-pic.jpg

soka-e1724250077267-1024x968.jpg
kibao.jpg
 
mara leo kudai hiki, kesho inakua saccos, mtondogoo kimegusa na kudandia lingine n.k hakutawafikisha popote zaidi ya kuwapotezea uelekeo,
Huko Lumumba kutumia akili kujibu vinavyoandikwa JF mmepigwa marufuku?
 
Kila shilingi ina pande mbili,siku moja ona hata jema moja la usiyempenda!
Mfano tu,hivi utitiri wa viwanda vinavyojengwa kila uchao havitoi ajira kumbe!
Hivi hata marekeni yenye zaidi ya marais 40 waliopita,nayo imeajiri raia wake wote?

Fanya siasa,tumia fursa,tafuta pesa,cheo au umaarufu.ila usidanganye watu kuwa chadema ikiingia madarakani itaajiri raia wote!

Wanasiasa wenyewe wamejiajiri kwenye siasa.siasa ni kazi.lisu na samia wote wako kazini kutatuta mkate na kupambania ndoto zao kupitia matarajio ya watu wengine.
 
Huko Lumumba kutumia akili kujibu vinavyoandikwa JF mmepigwa marufuku?
Gentleman,
mimi naeleza mambo ya msingi tu kwa faida ya wadau wa JF na kulingana na hoja mahususi mezani,

porojo na story za pata potea baki nazo kwa makamanda wenzako 🐒
 
Kila
Hivi hata marekeni yenye zaidi ya marais 40 waliopita,nayo imeajiri raia wake wote?

Fanya siasa,tumia fursa,tafuta pesa,cheo au umaarufu.ila usidanganye watu kuwa chadema ikiingia madarakani itaajiri raia wote!
Hii hoja kwamba nimesema raia WOTE wanaweza kupata ajira umeitoa wapi? Kwenye bandiko langu Kuna mahali nimesema raia wote wanatakiwa waajiriwe?

Marekani unayoitaja kati ya watu 100 watu zaidi ya 95 wako kwenye ajira rasmi.

Kwanza wewe unajua nini kuhusu AJIRA?
 
Ni muhimu zaid kila chama cha siasa kikajizatiti kikamilifu kwenye misingi, itikadi, madhumuni na malengo ya kuanzishwa kwake.

kumbwelambwela kwa vyama vya siasa, kuyumba na kubabaika na agenda nonsense,
mara leo kudai hiki, kesho inakua saccos, mtondogoo kimegusa na kudandia lingine n.k hakutawafikisha popote zaidi ya kuwapotezea uelekeo,

huku wenye kusimamia malengo yao wakipeta bila mbambamba yoyote kuyatimiza na vyama vilivyo poteza uelekeo vikilalamika dhidi ya mafanikio ya chama kinachoimarika na kua kikubwa zaidi kimkakati 🐒
ayaa.., kwa hiyo hapo jukumu lako limetimia,hujaelewa mada au umekimbiza gori kimkakati kama ajila yako inavyotaka
 
ayaa.., kwa hiyo hapo jukumu lako limetimia,hujaelewa mada au umekimbiza gori kimkakati kama ajila yako inavyotaka
ni muhimu kujifunza taratibu bila mihemko,
na ikiwa hujaelewa muulize mwenzio gentleman,
mimi nazungumza mambo ya msingi tu na kusonga mbele 🐒
 
Ni muhimu zaid kila chama cha siasa kikajizatiti kikamilifu kwenye misingi, itikadi, madhumuni na malengo ya kuanzishwa kwake.

kumbwelambwela kwa vyama vya siasa, kuyumba na kubabaika na agenda nonsense,
mara leo kudai hiki, kesho inakua saccos, mtondogoo kimegusa na kudandia lingine n.k hakutawafikisha popote zaidi ya kuwapotezea uelekeo,

huku wenye kusimamia malengo yao wakipeta bila mbambamba yoyote kuyatimiza na vyama vilivyo poteza uelekeo vikilalamika dhidi ya mafanikio ya chama kinachoimarika na kua kikubwa zaidi kimkakati 🐒
Wewe Mtulinga tulia wenye akili wadadavue
 
Wanasaikolojia husema binadamu (siyo mtu) dhaifu hujaribu kuficha udhaifu wake kwa kufanya mambo yake kwa kutegemea mitulinga.

CCM imekuwa inaongoza nchi hii Kwa zaidi ya miaka 33 sasa tangu mfumo wa vyama vingi urejeshwe hapa nchini.

Lakini Katika jambo ambalo CCM wameshindwa kabisa kulitafutia ufumbuzi ni suala la ajira (siyo kazi) na ujira Bora Kwa watanzania.

Miaka nenda miaka rudi kwa zaidi ya miongo mitatu sasa CCM haijui ifanye nini kuongeza ajira na kuweka uhakika wa ajira kwa watanzania huku ujira kwa watanzania ukiwa mzuri na wa uhakika.

Hali hii inatokana na CCM kuwaza kuwa ajira ni kazi na kuwa kila kazi ni ajira. Upotofu huu umefanya ajira kisiwe kipaumbele cha CCM.

Viongozi kadhaa utawasikia wakisema kuwa "kama maisha ya mjini yamekushinda rudi kijijini ukalime". Yaani zama hizi kweli kulima kwa jembe la mkono inakuwaje ni chanzo cha ajira!?

Ukisikiliza jinsi CCM inavyowaona wamachinga, bodaboda au wapiga debe kuwa ni ajira rasmi, ndipo unapojua kuwa CCM inaona ajira ni kazi za kutoka jasho pekee!

CCM wekezeni kwenye matumizi ya akili ili kuongeza ajira kwa watanzania.
Nyimbo ya Joseph Haule
 
Kila shilingi ina pande mbili,siku moja ona hata jema moja la usiyempenda!
Mfano tu,hivi utitiri wa viwanda vinavyojengwa kila uchao havitoi ajira kumbe!
Hivi hata marekeni yenye zaidi ya marais 40 waliopita,nayo imeajiri raia wake wote?

Fanya siasa,tumia fursa,tafuta pesa,cheo au umaarufu.ila usidanganye watu kuwa chadema ikiingia madarakani itaajiri raia wote!

Wanasiasa wenyewe wamejiajiri kwenye siasa.siasa ni kazi.lisu na samia wote wako kazini kutatuta mkate na kupambania ndoto zao kupitia matarajio ya watu wengine.
Acha uchawa ndugu haukufikishi popote
 
Ni speaker gani utumie ili wakusikie, labda JBL lkn sijui. Labda tutafute zile speaker za Redio aina ya NATIONAL au MKULIMA za wakati ule huenda wanaweza kusikia.
 
Ni speaker gani utumie ili wakusikie, labda JBL lkn sijui. Labda tutafute zile speaker za Redio aina ya NATIONAL au MKULIMA za wakati ule huenda wanaweza kusikia.
Dunia inahama kutoka kwenye kutumia mitulinga kwenye kujenga uchumi badala yake teknolojia ndiyo kiini Cha mafanikio kwenye kukuza uchumi.

Watu zaidi ya milioni 22.1 kati ya wamarekani wote hujihusisha na sekta ya Kilimo sawa na 10.4% ya ajira zote za Marekani na watu zaidi ya milioni 2.6 ndiyo moja Kwa moja hujihusisha na Kilimo sawa na 1.2% ya ajira zote za Marekani.

Kwa CCM hakuna tofauti kati ya kulima, Kilimo na sekta ya Kilimo! Mitulinga yao walituletea "Built Better Tomorrow (BBT) umefeli wapo kimya kama vile toto tundu limefumaniwa linaiba nyama jikoni!
 
Acha uchawa ndugu haukufikishi popote
Kama haya ndio mawazo yaliyojaa kwenye kichwa chako basi mtageuzwa geuzwa sana na wanasiasa.
Maana mmechagua mtu mmoja ndio awe anafikiri kwa niaba yenu.na ninavyokuona hata kesho lisu akisema, tutashiriki uchaguzi utashangilia tena kama unavoshangilia kampeni ya sasa,nyumbu daima nyumbu!
 
Back
Top Bottom