Juma Bundala
Member
- Mar 9, 2012
- 71
- 5
CCM ili kupiku umati ulikuwa siku ya uzinduzi wa kampeni ktk uchaguzi mdogo Arumeru Mashariki,CCM wamegharamika kwa kukodi bodaboda zote zikusanye watu tumeshudia leo msulululu wa bodaboda kwenye kila TOTAL,hata hivyo bado hawqa kufua dafu.SWALI ni je bodaboda na watu waliowakusanya bila uhiari wao ni kujivunia?