Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,945
- 4,499
Kwenye uzinduzi wa kampeni jimbo la Kalenga jana CCM walitumia mbinu ile ile ya kusomba makada wa kukodiwa kuja kujaza watu kwenye mkutano wao Ifunda, safari hii baada ya RPC kupiga marufuku malori waliamua kutumia mabus ya Upendo.
Hata vipaya na macruser yalitumika kufanya shantingi ya watu wa kujaza watu.