Nusu ni watoto wa waasisi wa ccm...na wapinduzi..hakika hakuna mabadiliko yoyote ccm..hata huku EAC ambako taifa linataka wananchi walobobea kiuchumi na sheria mnatupelekea ndugu Du Mnatia aibu.
afadhali CUF na CDM Wamechgua watu wa maana wasomi wanaojua taifa linataka nini huko EA na sio wauza sura
Baba yake Lawrence Masha alikuwa Mbunge wa Afrika Mashariki, Dr Fortunatus Masha na Mwanae Chadema imempitisha agombee Ubunge wa EA lakin hujastuka, umestuka kusikia Dr. Maghembe Jr kuwania Ubunge'
Kwny Siasa za Undugu na kubebana, CCM,CUF na Chadema hawana cha kuchekana